Huyo aliyeko nje ndio aliyempa kesi lissu???? Kamteka pole pole? Heche? Niffer??? Serikali ijitafakari!!! Inakataa kuwajibika kwa mambo yaliyo wazi kabisa??? Kumbe tena kuna vikosi mahiri vinavyoweza kuua hivyo kwanini wasiue hai watekaji????
Habari wadau nahitajika kuwepo dar kwa usiku mmoja na mimi ni mgeni jijini je nawaleza pata lodge maeneo karibu kabisa na mahakama ya ardhi Mwananyamala kwa budget ya shs 20000 kwa usiku mmoja msaada please.
Habari ndugu,
Nahitaji mkopo wa 500000 ndani ya 24 hours ambao nitalipa tarehe 4 kwa riba ya asilimia 20. nina tatizo urgent. tafadhali niko serious.
Ninamiliki biashara iliyosajiliwa, kwa uaminifu zaidi mkopeshaji anaweza pajua ofisini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.