Hapa issue ni Udharula wa tukio. Hao wana wasomi wa kutosha na fursa za kutosha na wamepata elimu bora. Hapa kwetu angalia hali ilivyo. Angalia uwiano kati ya waliosoma vs wasio soma pia lingalisha na hizo nchi. Wazungu wanasema "one size does not fit all" usilinganishe kipumbafu na kilofa!
Pia ubovu huu huu wa elimu ndio umafanya Mwl. Bashiru toka aanze kusoma Phd miaka 15 iliyopita awe hajapata hiyo Phd, wanafunzi wake kina Makulilo wanakuwa ma senior lecture na wakuu wa Idara yeye yumo tu! Ni mtazamo tu jamani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.