Recent content by pinguli

  1. P

    Mbowe na dk. Slaa mmetia aibu kubwa kwa siasa zisizo na utu

    kama ni kweli basi hii imeshakuwa hatari...lakini na yeye Zitto kwa nini hakomi.,wamemkosa na Ben Saanane kumnywesha sumu, aliponusurika ametangaza atakuwa wa mwisho kuondoka Chadema..,Dah jamaa ana roho mbaya sana aisee..huu ni zaidi ya Ungangari wa CUF.
  2. P

    Mbowe na dk. Slaa mmetia aibu kubwa kwa siasa zisizo na utu

    Ujinga uliopitiliza huitwa Umbumbumbu..,wewe ni shidaaaa., haujitambui wala haujielewi.
  3. P

    Mbowe na dk. Slaa mmetia aibu kubwa kwa siasa zisizo na utu

    Uchochoro upi unakopatikana wa milango saba temeke au jiachie wa kule ambiance..?
  4. P

    Mbowe na dk. Slaa mmetia aibu kubwa kwa siasa zisizo na utu

    Na hapa ndipo mtajua kuwa Chadema ni Chama cha siasa au genge la wahuni..
  5. P

    Mbowe na dk. Slaa mmetia aibu kubwa kwa siasa zisizo na utu

    Bora yeye ni mzigo kuliko wewe furushi.
  6. P

    Mbowe na dk. Slaa mmetia aibu kubwa kwa siasa zisizo na utu

    kama wamezoea kulisha watu sumu, wamezoea kung'oa wenzao kucha na kumwagia wenzao tindikali unafikiri watashindwa nini..? Mlipoambiwa hawa sio watu hamkuamini sasa na muone kwa macho yenu kama nafsi zenu hazioni.
  7. P

    MBOWE mnatuharibia chama, chama kinazidi kupotea

    kipotee tu kwani sisi kinatuhusu nini..hizi thread nyingine pelekeni chadema blog.
  8. P

    Pongezi, Ushauri na Onyo kwa Hotuba ya Waziri Wa Mambo ya Nje Kwa Weledi na Upotoshaji

    Hivi we kijana wa kinyalu uongo utaacha lini..,lione bichwa lile.,ushauri kwenye idara nyeti*** mav**
  9. P

    Pongezi, Ushauri na Onyo kwa Hotuba ya Waziri Wa Mambo ya Nje Kwa Weledi na Upotoshaji

    huyu kijana sijui lini atajitambua..,hivi nyie mmeamua kukodisha akili zenu ama..? maana sielwi mtu na akili yake anaanzaje kumtetea kagame.,yaani hata sense ya uzawa wa kawaida hamna. Ni bahati mbaya sana kwa nchi kama hii kuwa na vijana aina yako na wazee kama Slaa. Unamteteaje KAGAME.,anawapa...
  10. P

    Simon Group na Ridhiwani Kikwete wana uhusiano gani?

    wazushi na wapika habari wapo wengi nchi hii..,nilifikiri ni Tundu Lissu peke yake..kumbe hata wewe.
  11. P

    Wapinzani hawana sifa za Kuongoza nchi. (comparison analysis)

    Punguzeni matusi na person attack bwana mnaharibu hili jukwaa. Mods nanyi kuweni makini mambo kama haya yanashusha hadhi ya forum na kufanya hata wachangiaji kudharaulika., tuweni makini basi.
  12. P

    Vijana Njooni CCM, ndoto zenu zitatimia

    Sio kosa lako..,namlaumu aliyekutuma hapa uje kutoka povu ukimaliza unadaka kitu cha buku 3 unasepa..we Mangi hovyo kabisa.!!!
  13. P

    Mgombea wa CHADEMA jimbo la Chalinze awekewa Pingamizi

    Kaka hawa jamaa ni majanga, yaani kila sehemu wanaunga unga.
  14. P

    Vijana Njooni CCM, ndoto zenu zitatimia

    katika jambo ambalo litawafanya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kiendelee kubaki madarakani ni pamoja na kuwa na Vijana wa aina hii ya Makonda ambao wanauwezo wa kuona mbali na kushirikisha ubongo wao katika maamuzi. Yaani umeandika kitu ambacho kila mwenye akili anaona ni kitu gani unakimaanisha hapa...
  15. P

    Mgombea wa CHADEMA jimbo la Chalinze awekewa Pingamizi

    Taarifa zilizotufikia hivi punde ni kuwa Mgombea wa Ubunge Jimbo la Chalinze kwa tiketi ya Chama Cha Demokrasia (CHADEMA) amewekewa pingamizi na Chama Cha wananchi CUF kutokana na kutotimiza mashariti katika fomu yake ya Ugombea aliyoichukua tume ya Uchaguzi (NEC). Viongozi wa CUF jimboni humo...
Back
Top Bottom