Recent content by Pinacoladee

  1. Pinacoladee

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Pole jikaze, ndio ukubwa uo kuna kitu kizuri mbele yako jipange for next time. Aluta continua💪
  2. Pinacoladee

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Mwisho wa mwez tusubir tuone🤗
  3. Pinacoladee

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Ukiingia kwenye ile option ya vacancies,au kwenye ajira Portal login tangazo la kazi linaonekanaga lote?mfano utume wapi?
  4. Pinacoladee

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Nafikiri alimaanisha kule unakua huoni tangazo lote bhana
  5. Pinacoladee

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Labda nafasi zilianza kuonekana kule ajira portal login,badae zikaonekana sasa kwenya website ya ajira.go.tz
  6. Pinacoladee

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Duuu jmn,ngoja waje wenye uelewa ila kwanini jmni aya mambo yanakua hivi🤔😟😔
  7. Pinacoladee

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Eeh bora umemwambia😂😂😂,anasahau kwamba watu ukilamba asali wanakuuliza ebu tupe siri ya mafanikio nasi tunajibu technique zile zile hakuna mpya sasa nielezee zingine wakati ni zile zile tu labda namna ya kuzielezea
  8. Pinacoladee

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Ndugu zangu nafasi zilizotoka si haba,Nadhan na nyingine nyingi zitatoka,si vibaya ukaanza kujiandaa ukasoma materials yako basing na job description utapata areas za kufocus zaidi,kama kuna magroup au unaweza ukaanzisha WhatsApp group mkajisomea naamini watu wana materials ya kutosha hasa...
  9. Pinacoladee

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Aah bhana bhna received 7 sio kitoto,yanii sasa ivi apo komaaa apo tunasema litakufa jitu...afe beki afe kipa lazima kinuke kbisaaaa🤣💪
  10. Pinacoladee

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hongera sana Diaspora wngu
  11. Pinacoladee

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    😂😂😂😂😂aah jmn
  12. Pinacoladee

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kumbe ulipata mapema tu na ushaanza kazi jmn hongera sana...nakumbuk ulisemag sku ukiona jina lko utaenda na tarumbeta🤣🤣🤣
Back
Top Bottom