Recent content by pilipili hoho

  1. P

    Rais Magufuli: Magazeti yanayoandika kuna njaa yamenunuliwa na wanasiasa na wafanyabiashara

    Tatizo sio Rais Magufuli Tatizo ni sisi Watanzania..
  2. P

    Ni wakati wa Watanzania kusimama Wenyewee!!

    Tatizo sio Serikali Tatizo ni Weww
  3. P

    "Rambirambi" au "Rambaramba"

    Mnaacha kujadili mambo ya msingi mnajadili Rambirambi Kwani kuna shida gani serikali isijenge nyumba za waathirika huko Bukoba ambao watoto wao wamefaulu kwenda chuo kikuu.. Halafu hela hizo zikatumika kuwapa mikopo watoto wa huko Bukoba.. Kupanga ni kuchagua Serikali inajua inafanya nini...
  4. P

    Serikali: Fedha za Maafa ya Tetemeko Kagera zimeelekezwa kwenye Taasisi za Umma

    Mnaacha kujadili mambo ya msingi mnajadili Rambirambi Kwani kuna shida gani serikali isijenge nyumba za waathirika huko Bukoba ambao watoto wao wamefaulu kwenda chuo kikuu.. Halafu hela hizo zikatumika kuwapa mikopo watoto wa huko Bukoba.. Kupanga ni kuchagua Serikali inajua inafanya nini...
  5. P

    Hivi maafa ya Kagera zilichangishwa kiasi gani na zimetumikaje?

    Mnaacha kujadili mambo ya msingi mnajadili Rambirambi Kwani kuna shida gani serikali isijenge nyumba za waathirika huko Bukoba ambao watoto wao wamefaulu kwenda chuo kikuu.. Halafu hela hizo zikatumika kuwapa mikopo watoto wa huko Bukoba.. Kupanga ni kuchagua Serikali inajua inafanya nini...
  6. P

    CHADEMA Bukoba yalaani RAMBIRAMBI za tetemeko Bukoba kuliwa na Serikali

    Naulizia ile kesi ya wale watumishi waliotuhumiwa kufungua Account ya maafa Kagera "inayosemwa kuwa ni feki" Imefikia wapi
  7. P

    Rais Magufuli: Ajira mpya zinaendelea, zilisimama kwa miezi miwili pekee

    Watumishi ni wanafiki Kumbe Promotion zipo na mnalipwa.. alafu mnalalmika Acheni kulalamika.. Acheni unafiki.. Mnalalamika mnataka Rais wetu kipenzi aonekane hafanyi kazi.. Kumbe mnalipwa mpaka malimbikizo ya madeni.. Acheni unafiki
  8. P

    Mwijage: Kazi yangu ni 'kupiga sound' wawekezaji waje, sio kujenga viwanda

    Nina imani na Mh Dr. JOHN P. MAGUFULI... Ataushangaza Ulimwengu.. Sasa hv anarekebisha Madudu ya Serikali ya CCM iliopita.. Baada ya Kuondoa Makosa na Upigaji dili wa Wafanyabiashara wezi wa Tanzania.. Tutashuhudia neema kwa kila Mtanzania Tuwe na Subira na Uvumilivu.. Tumpe muda Mheshimiwa...
  9. P

    Aliyempigisha ‘deki’ Mwalimu aigomea CWT

    CWT acheni ubabaishaji na kutuhadaa.. Mkurugenzi amefanya kazi yake kwa nia njema ya kuwarekebisha walimu vilaza.. Hamtamuweza Mkurugenzi... Ni boss wenu
  10. P

    RC Gambo amwagiza RPC Arusha kumuweka ndani mwandishi wa Azam Tv muda huu

    Hawa waandishi hata wakiambiwa hawasikiii.. Hata yule wa ITV aliambiwa asirekodi Ye akarekodi... Wengi wao Vilaza Heko:Mheshimiwa Gambo
  11. P

    Vipengele vitano: Muswada wa Huduma za Vyombo vya Habari

    Muswada huu ni mzuri na Serikali ya awamu ya tano inalenga kuwasaidia Waandishi wafanye kazi zao kwa weledi Naaamini Waandishi wengi watakubaliana na huu muswada
Back
Top Bottom