Recent content by pili pili

  1. P

    Ukinipa na supu halibaki hata moja.

    Hat mie halibaki hata moja,namaliza yooote
  2. P

    Nunda (17) Mungu anaishi chooni !!

    Achen kufuru nyie watu
  3. P

    Huyu aliiba au hapana?

    Hiyo kali,bahati yake hakula vidochi
  4. P

    Nasikia kwamba tumbili wana uwezo mkubwa kufukuza wezi kuliko mbwa

    Hiyo imethibitishwa na TBS,wadau leteni michanyato yenu,najua wapo watakaobisha
  5. P

    Baridi sana

    Kweli watu hamnazo,sasa ndo nini,hiki nini,ni nini
  6. P

    Hawa ndio wasomi wetu akili nyingi maarifa kidogo

    Kijana ndie anayepaswa kuwa na hiyo PHD,maana anamajibu sahihi kwa wakati,wala hajataka kuwa na longolongo
  7. P

    Kweli dunia imeisha

    Aliyeanzisha thread anafanya Kazi voda,tena ni sales officer,na analipwa comiision kwa kila umuamala
  8. P

    Nyumba iliyotoweka

    Hayo ni maajabu ya mwaka,kwa hiyo jamaa kahamisha mjengo,hiyo teknolojia ni nzuri sana
  9. P

    two prostitutes and one gayboy

    Ama kweli dunia imevaa kimini
  10. P

    Mume Na Mke Chumbani.

    Huyo ni mkareeee sana
Back
Top Bottom