Recent content by pigzz

  1. pigzz

    Hii nimeikuta sehemu nikaipenda bure (soma kwa makini)

    Mkuu watakwambia hayo yote umeongea ni UBATILI MTUPU la maana kwao wabarikiwe kuwa na MATAKO MAKUBWA wanaume tuna kazi sanaaaa
  2. pigzz

    Tujadili kwa uhuru: Hatma ya Polepole baada ya kumaliza kuongea iko wapi? Atatokea hadharani?

    Eti king suleiman king wa hiv kweli unauliza hatma ya mwanaume mwenzio mwanaume yupo vitani ww unauliza hatma yake ww utakuwa BONGE LA DADA na si king suleiman
  3. pigzz

    Tujadili kwa uhuru: Hatma ya Polepole baada ya kumaliza kuongea iko wapi? Atatokea hadharani?

    Aka ka mchezo ukiwa mtoto huwezi elewa ,, huenda na ww ule mgao wa baiskeli ulipata sasa mimi na ww nani chawa
  4. pigzz

    Tujadili kwa uhuru: Hatma ya Polepole baada ya kumaliza kuongea iko wapi? Atatokea hadharani?

    Hata mimi najiuliza hatma ya mzee wa msoga akifa roho yake itaelekea wapi!! na la mwisho hatma ya huyu aliesema KIFO NI KIFO TUUU haya makanisa alio yafungia mungu atampa adhabu ipi!!! hivi unajua paul kagame toka alivyo fungia yale makanisa na uchaguzi uli isha na akashinda sasa hivi hali yake...
  5. pigzz

    Picha: Sijawahi Kuona Mgombea Urais Mwenye Upendo Kama Dkt. Samia Suluhu Hassan

    Usisahau na zile baiskeli alizogawa!!
  6. pigzz

    Chivayo 'Mwizi wa Uchaguzi’ na ‘Kipenzi' cha wanasiasa Barani Afrika, ameshatia mkono na kwetu?

    Unadhani waziri mkuu alipenda kupumzika Unadhani makamu wa rais alipenda kupumzika @@
  7. pigzz

    Mshikaji niliyeajiriwa naye pamoja amenipa hasira sana wakuu

    Kila lakheri mkuu haya hayana formula wa kwanza leo wa mwisho kesho fred lowasa si mbunge tena pale monduli yule darasa la 7 chawa wa baba ake ndo mteule pale umasaini haya hayaeleweki
  8. pigzz

    Ni kitu gani ulipitia katika utafutaji kazi hutosahau?

    Kwenye ufugaji wa kuku sikuwah kuona faida ila UFUGAJI WA NGURUWE kdg nashika hela
  9. pigzz

    Mathayo tena na ubunifu wake safari hii ni kuhusu kuthibitisha Utatu

    Kuna jamaa anasema ww ni mpotoshajiiii
  10. pigzz

    Kamwaga atembelea Ubalozi wa Cuba kuhakiki bei ya Gesi

    Akitoka apo ubalozini aende na mwanza zile taarifa za yule chui ni za kweli??
  11. pigzz

    Mtag na Umuulize Mwana JF yeyote Swali Lolote Mahala Hapa

    Pridah mama ovyo wangu jamaniii
Back
Top Bottom