Eti king suleiman king wa hiv kweli unauliza hatma ya mwanaume mwenzio mwanaume yupo vitani ww unauliza hatma yake ww utakuwa BONGE LA DADA na si king suleiman
Hata mimi najiuliza hatma ya mzee wa msoga akifa roho yake itaelekea wapi!! na la mwisho hatma ya huyu aliesema KIFO NI KIFO TUUU haya makanisa alio yafungia mungu atampa adhabu ipi!!! hivi unajua paul kagame toka alivyo fungia yale makanisa na uchaguzi uli isha na akashinda sasa hivi hali yake...
Kila lakheri mkuu haya hayana formula wa kwanza leo wa mwisho kesho fred lowasa si mbunge tena pale monduli yule darasa la 7 chawa wa baba ake ndo mteule pale umasaini haya hayaeleweki
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.