JamiiForums Tanzania
Tanroad
Sehemu ninayoishi, Kuna ujenzi wa barabara Ya lami,. Tatizo linakuja kwa wanaotengeneza,, wamekuwa wakikata matairi ya vyombo vya moto ili kuwakomoa madereva wanaopita,,. Wakati hawajatengeneza hata barabara mbadala, Sasa kwa wanaojua sheria hii ni haki kweli,. Naombeni nipatiwe sheria za ujenzi...