unaaaa,,achen kupakazia vitu vya upuuz,chuki,unafki,uzandki,ubinafsi hiv ni baadh ya vitu visivyojenga na havileti maendeleo,hapa watanzania mnaonyesha jins gan akili zenu zilivyo dumaa,remember blind mind is ahouse of Devil.
Kwa hilo ntakuunga mkono,hapo ntakuita jembe maana hawa mafisadi wanatia kichef chefu,wengne bila hata ya aibu eti wanapiga kampeni chaf wanataka wagombee urais mwaka 2015,kutwa kutwa kuzunguka makanisani kutaka waonekane watakatif,kapambane jembe tuko pamoja.
Tatzo la chadema woote matapeli tuu,wanauchu wa madaraka,hawqna jipya,hasa huyo mkengeza ana uchu saana na ikulu na kwa taarifa yake haupati ataishia kuropoka tuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.