Recent content by Pics

  1. Pics

    1998 Mara ya kwanza Kwa timu ya Tanzania kucheza group stage

    Hesabu miaka ambayo Yanga alikuwa bingwa toka 1998 akashindwa.mingine mweke kwenye kushindwa ubingwa wa tanzania.kuna klabu ilishinda ubingwa ndio ilshindwa kwa kuwa ni klabu moja tu aliwakirishal.hizo hesabu za std 4 ya kina Jemedari na Oruma msituambukize
  2. Pics

    Mchezaji Mwandamizi Simba SC: Tunafanya Kusudi Kucheza vibaya ili Kocha ajue hatuna Furaha nae na Mshambuliaji Baleke anatudharau sana Wenzake

    Sasa hao akina Onana ,Bocco wenye heshima, hawamfikii Baleke kwa magoli NBCpl?wawapasie wafunge.au wafunge wenyewe pale jangwani yeyote anatupia.
  3. Pics

    Kuuliza si Ujinga; Maharage Chande anafanya biashara gani na TTCL? Kwanini Biashara hiyo inafichwa?

    Kama wanapenda kufanya biashara Tena na taasisi za umma kwanini wanawekwa kwenye ofisi za umma Tena nafasi zenye maamuzi?ni Jambo zuri kujiajiri achia nafasi kwa watu wengine
  4. Pics

    Yanga wakati wanafanya usajili, Simba wao walikuwa Uturuki wanatengeneza shepu

    Ikifika hiyo siku NBCPL imeemda FA ipo jangwa la mtoni
  5. Pics

    Bingwa wa CAF Super Cup katokea kombe la shirikisho ni ujumbe tosha ya kwamba Yanga wapewe maua yao

    Hata Sasa wanaendelea kukutana na timu dhaifu mpaka fainali.pia NBCPL timu dhaifu mpaka ubingwa. NB: El mereikh CAF rank 27 Power dynamo CAF rank 86
  6. Pics

    Kwanini macho na masikio ni kwenye mechi ya Yanga na siyo Simba

    Habari za Yanga zinauzika.majobless wa Yanga wanamkwanja wa kununua habari iwe YouTube, Twitter, TikTok, Facebook nk.bando SI issues kwao.hata magazeti ukitaka kuuza andika kuhusu yanga.muulize Jemedari asipoitaja Yanga hakuna maokoto boss efm anawakata posho.yanga wamesomba coaster zote Kali...
  7. Pics

    Bin Kazumari: Simba wascreenshoot msimamo wa ligue

    Anakitu azingatiwe kwa leo
  8. Pics

    Nchi nyingi za Afrika zikisifika uchumi nzuri zinaporomoka haraka

    Mataifa ya AFRIKA mara yakisifiwa kupamda maendeleo kiichumi yanaporomoka baada ya muda mfupi.mfano Ghana, Kenya, Msumbiji na Sasa kuna dalili Tanzania inaelekea huko. Hii SI bahati mbaya. Nchi za Ulaya zinafanya kila juhudi kuzikopesha fedha ambazo wanajua zinaishia mifukoni mwa watawala na...
  9. Pics

    Jana ndio nimeelewa kwanini GSM, MO, ASAS, BAKHRESA wote ni CCM

    Ma ukitaka cheo au jipendekeze,kata viuno kwenye matamasha ya siasa,na mikutano.sifia Sana kama mtangazaji.teuzi iko pale
  10. Pics

    Mwakani hatutasikia kelele za kambi Tunisia wala Uturuki

    Kwa hisani ya waamuzi kweli.hongera
  11. Pics

    Tanga kiingilio elfu 20! Hawa TFF wako sawa sawa kweli?

    Mashabiki wa Simba ni shida.starehe gharama nenda vibanda umiza jero tosha.Azam afanye hayo kwa watu wa Tanga tu.akili matope
  12. Pics

    Straika mpya wa Azam Fc, Alassane Diao

    Hajaonekana leo Kama fei
  13. Pics

    Kafungwa Azam, wanaumia Simba

    Msikwame tafadhali
  14. Pics

    Mshambuliaji mpya Yanga SC Hafidh Kounkon: Nachukia Klabu ambazo zinapenda Kuroga na Uchawi

    Ndiio maana hakukubali kwenda Dunduka Fc.atakuwa alifahamu tukio la kuwasha moto uwanjani kule south Africa na kufungiwa na kutozwa faini Gadiel Michael kwa ulozi akiwa uchi mchana msimu uliopita akiwa Ngada fc
Back
Top Bottom