Vita ni hesabu, ukikosea hesabu unalambwa kichwa. Kujibu mapigano sio mihemko ya mapenzi.
Na pengine irani hatojibu leo wala kesho kwa mtindo tunaoutaka sisi. Ila kibaraka yeyote wa marekani pale middle east atakabwa koo taratibuu mwisho atajifia mwenyewe.
Irani anamakubaliano ya siri na...
Iran hawez mjibu israel kwa kumvamia kutokea tehran. Hapo anatafuta lunch site nzuri nje ya ardhi yake ili dawa iingie vizur na vibaraka wa israel wasifanye chochote.
Israel atapigwa kwa akili sana, wala hakutakua na vita ya 3 ya dunia.
Wapo watu wanaodhani irani anapiga mikwara kwa israel. Ukwel ni kwamba, irani ndio mastermind wa yote anayofanyiwa israel na vikundi vya iraq, syria, lebanon na yemen.
Mpaka sasa inatosha kusema irani inampiga vikali israel.
Wengi tunategemea irani ilushe bomu kutoka tehran. Hilo halotokaa...
Ndugu zangu nimesoma degree yangu yakwanza ya ualimu, bachalor of education in science with ICT
Nahitaj nisome law, naomba kujua naweza enda masters ya law ama natakiwa kuanza post gradute dip ya law kwanza
NATANGULIZA SHUKRANI
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.