Tatizo michango imezidi sana hapa niko na kadi za michango kama tatu na zote zimetolewa jana zatakiwa kuwekwa pesa,kifupi jumuiya zimekua kama vikundi vya vikoba ,watu wanazidi kuzikimbia,
Sent from my SM-S920L using JamiiForums mobile app
Hii itamletea shida ukrein zaidi mana wakati anangoja wafadhili mwenzake kawambia yapo stood yakutosha.
Sent from my SM-S920L using JamiiForums mobile app
Mkuu kwa jinsi wamagharibi walivo na .n..y..e..g.. mshindo, kama mrusi ni dhaifu basi kwa sasa mda mrefu wangeshakiwasha na kuondoka,ila mzee hii ngoma nzito mana juzi wenyewe wamekili kuzidi kuitenga urusi ni kujiumiza wenyewe,
Kuna jamaa mmoja alikua fundi baiskeli konk maeneo ya msasani, Laki ni ghafla akapotea kwenye ofisin ya ufundi baiskeli,juzi namkuta kwenye mduka mkubwa wa vifaa vya ujenzi nikashangaa,kuliza naambiwa sio moja Hilo duka yapo mengine nikachoka kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.