Recent content by philos

  1. P

    Kardinali Pengo Enzi Za Ujana

    Ecce Ego Domine =Behold I am the Lord!
  2. P

    Sadaka na zaka za kwenye nyumba za ibada zitozwe kodi

    Usiwe mjinga Tanzania mapadre hawapokei mishahara. Huko Germany mapadre ulipwa mishahara kutoka kwenye kodi wanazotozwa wananchi!
  3. P

    "Huyu Mama...mi nikamwangalia tuu". Hii sio lugha ya Mimbarini, ni lugha ya Kijiweni! Rais wa nchi ni Rais, sio 'Huyu Mama'. Lazima aheshimiwe na wote

    Umekuwa tena mtaalamu wa homiletics kufundisha lugha ya mimbarini. Acheni ujuaji wa msioyajua! Unajua Yesu alimwita herode fox! Au herode alikuwa katibu kata! Paulo anamwambia Timotheo onya, karipia, wakati ufaao na wakati usiofaa!
  4. P

    Hoping for a "Black Pope" from Africa is ignorance on steroids. Kufikiri kwamba Papa mwafrika anaweza kuchaguliwa aongoze Vatikani ni ndoto za mchana

    Sijui kama ni sahihi kusema anatoka Afrika. Nimekwambia Makadinali wote ni raia wa Vatikani! Hao mnaosema wanatoka Afrika ni raia wa Vatikani! Labda uulize je Kardinali mweusi anaweza kuwa Papa? Jibu ni ndio kwa sababu kigezo cha kuwa Papa ni kuwa kardinali na sio rangi! Mbona Papa Francesco ni...
  5. P

    Hoping for a "Black Pope" from Africa is ignorance on steroids. Kufikiri kwamba Papa mwafrika anaweza kuchaguliwa aongoze Vatikani ni ndoto za mchana

    Sasa hili si rahisi sana angalia orodha ya nchi katika United Nations. Kweli sio kila anaongea Kingereza amesoma. Kama sio nchi kwanini ina kiti Umoja wa Mataifa. Kwanini ina mabalozi katika nchi, hata hapa kwetu upo.
  6. P

    Hoping for a "Black Pope" from Africa is ignorance on steroids. Kufikiri kwamba Papa mwafrika anaweza kuchaguliwa aongoze Vatikani ni ndoto za mchana

    Mambo mengi hujui ila unajitia hujuaji. 1. Kwanini Italy wametangaza siku 9 za maombolezo? 2. Kardinali yeyote kutoka kokote anaweza kuchaguliwa kuwa Papa. 3. Makadinali wote ni raia wa Vatican. Hawaitaji visa kuingia Vatican, kwahiyo hao sio wageni. 4. Papa ni rais wa nchi ya Vatican ndio maana...
  7. P

    Hoping for a "Black Pope" from Africa is ignorance on steroids. Kufikiri kwamba Papa mwafrika anaweza kuchaguliwa aongoze Vatikani ni ndoto za mchana

    Pointi ni kwamba hakuna Jimbo la Vatican. Kuna jimbo la Roma ambalo askofu wake ni Papa. Onyesha huo ujinga hapo. Vatican ni kisehemu kidogo sana ndani ya Roma. Makanisa ya Kikatoliki ya Mashariki umtambua Papa kwa wadhifa huu tu Bishop of Rome!!!!
  8. P

    Hoping for a "Black Pope" from Africa is ignorance on steroids. Kufikiri kwamba Papa mwafrika anaweza kuchaguliwa aongoze Vatikani ni ndoto za mchana

    Ignorantia elenchi. Vatican is not a diocese. Pope is the bishop of Rome. Have you ever been in Rome?
  9. P

    Hoping for a "Black Pope" from Africa is ignorance on steroids. Kufikiri kwamba Papa mwafrika anaweza kuchaguliwa aongoze Vatikani ni ndoto za mchana

    Hakuna jimbo la Vatican, Papa ni askofu wa jimbo la Roma. Rome is more than a Vatican geographically!
  10. P

    Hatakuja kutokea kamwe Papa wa hivi

    Makadinali wote ni raia wa Vatican na wanabeba diplomatic passports za vatican
Back
Top Bottom