Recent content by Philo_Sofia

  1. Philo_Sofia

    Mimi (wewe) ni nani haswa? Majibu yanaweza kufumbua fumbo la mwanadamu ni nani na asili yake pia hatima yake

    Mkuu Lengo ni kujifunza, ili kuwa na uelewa wa mambo na elimu ya vitu. Na kuondokana na kubishana Imani ni dhahiri. Si jambo la kufikirika. Imani ni maisha ya kila mtu, ya jamii. Imani inaonekana, kila mtu anaweza kuona. Kuhusu imani potofu:- Inaharibu uhai: Inaharibu maisha. Inaleta...
  2. Philo_Sofia

    Mimi (wewe) ni nani haswa? Majibu yanaweza kufumbua fumbo la mwanadamu ni nani na asili yake pia hatima yake

    Mkuu Naomba ufuatilie mambo na elimu ya vitu. Lengo lisiwe kubishana bali kujifunza na kuelewa. Narudie tena maana ya imani:- Ni kuwa na uhakika na uthabiti wa mambo yatarajiwayo na bayana ya vitu visivyoonekana. Kwa maana rahisi: imani, ni kujua. Hiyo mifano uliyoitoa sio imani...
  3. Philo_Sofia

    Mimi (wewe) ni nani haswa? Majibu yanaweza kufumbua fumbo la mwanadamu ni nani na asili yake pia hatima yake

    Mkuu nimeona tafsiri. Nilichoona wewe ndio huelewi. Unafafanuaje maneno: Complete trust or confidence au strong beliefs
  4. Philo_Sofia

    Mimi (wewe) ni nani haswa? Majibu yanaweza kufumbua fumbo la mwanadamu ni nani na asili yake pia hatima yake

    Mkuu Wewe ulichoshindwa kuelewa kwenye hiyo maana hata useme hiyo maana ya imani niliyoitoa, ni neno: "Kusadiki" au "Sadiki". Sasa, naomba ufafanue neno: Sadiki au Kusadiki.
  5. Philo_Sofia

    Mimi (wewe) ni nani haswa? Majibu yanaweza kufumbua fumbo la mwanadamu ni nani na asili yake pia hatima yake

    Mkuu. Unachanganya mambo. Sifa ya kwanza ya imani ni "Uhakika" na "Uthabiti". Hivyo basi, imani maana yake ni kuwa na uhakika na uthabiti wa mambo yatarajiwayo na bayana ya vitu visivyoonekana. Kumbe, kwa maneno mengine, imani maana yake ni "kujua". Ndio kusema: mtu aliye na imani...
  6. Philo_Sofia

    Mimi (wewe) ni nani haswa? Majibu yanaweza kufumbua fumbo la mwanadamu ni nani na asili yake pia hatima yake

    Nime-highlight aya hiyo kwa sababu nataka kukuuliza maswali haya: Swali la kwanza:- Kwa kuuona kwako ulimwengu, yaani vitu vinavyoonekana, na utendaji wao: Je, unafikiri umefanyika kwa akili au haujafanyika kwa akili? Swali la pili:- Sayansi maana yake ni nini? Na sayansi inatafuta kujua...
  7. Philo_Sofia

    Mimi (wewe) ni nani haswa? Majibu yanaweza kufumbua fumbo la mwanadamu ni nani na asili yake pia hatima yake

    Well. Kwanza kabisa tuelewa kwamba, "Hakuna sayansi bila dini, na dini bila sayansi imepungukiwa". Sayansi inafanya kazi ya kutafuta na kuona: Je, yale yote ambayo dini au imani imesema yapo; au je, ni kweli. Sasa, hakuna sayansi au mwanasayansi ambaye anakataa kwamba ulimwengu umefanyika kwa...
  8. Philo_Sofia

    Mimi (wewe) ni nani haswa? Majibu yanaweza kufumbua fumbo la mwanadamu ni nani na asili yake pia hatima yake

    Mkuu. Mimi huwa nasom mijadala mingi humu JF hasa ya dini au imani, sayansi na maendeleo. Lakini nilichoona ni kwamba watu wengi hapa JF (asilimia 98) hawana uelewa wa mambo na elimu ya vitu. Watu hawajui sayansi ni nini na inashughulika na nini; na hawajui maarifa ya sayansi yamefikia wapi...
  9. Philo_Sofia

    Madaktari wengi ni misukule walio hai

    Mtoa hoja alitaka kueleza jambo la ndani zaidi, ambalo watu wengi hatulioni. Anae angalia mambo kwa nje, bila kuingia kwa ndani, ataona kuwa mtoa hoja, hana heshima, na shukurani. Lakini yeye, amejaribu kuona mambo kwa ndani, na kuona makosa ya elimu yetu. Neno "makosa" hapa linamanisha kuwa...
  10. Philo_Sofia

    Yesu Kristo aliuawa kwa sababu za kisiasa zaidi kuliko za kidini

    Nime-highlight sehemu hiyo hapo juu kwa sababu ya maneno: Kifo cha Yesu Kristo. Hivyo basi, ninataka kujua msingi wa madai yako kwamba, "Yesu Kristo aliuawa kwa sababu za kisiasa zaidi kuliko za kidini". Vitabu vyote ulivyofanya rejea, vimeandika kuwa, kazi ya Yesu, aliyofanya katika kipindi...
  11. Philo_Sofia

    Je mafanikio ni uchaguzi maalum kutoka kwa "higher power"?

    Watu ambao hawajamjua Mungu, utajiri na mali, ni umasikini. Watu ambao hawajamjua Mungu, hawajui fedha, na hawajui mali, ni za nani. Haiwezekani, mtu ambaye hajamjua Mungu akawa tajiri, na akawa na mali. Inawezekana, mtu akapata na mali, na akapata utajiri, kwa udanganyifu na njia zisizo...
  12. Philo_Sofia

    Maisha sio muhimu na bora kama uzima

    Hakuna mtu ambaye hawajibiki au hatawajibika. Yesu hakuja duniani au hakufa msalabani, ili kuondoka hilo. Kwa hiyo, kifo cha Yesu msalabani, hakimuondolei mtu uwajibikaji. Kila mtu atawajibika kadiri ya matendo yake. Yesu Kristo, kwa kuja kwake duniani, mafundisho yake, matendo yake, mateso...
  13. Philo_Sofia

    Maisha sio muhimu na bora kama uzima

    Ujinga ni kutojua, na imani ni kujua. Kwa hiyo imani sio ujinga. Mtu anaweza kuwa mjinga kwa kutojua, na kwa kutojua ndio sababu kuna kasoro mbalimbali.
  14. Philo_Sofia

    Maisha sio muhimu na bora kama uzima

    Wewe umechukua mistari baadhi, na kwa sababu hiyo umepotosha wazo zima la andiko lenyewe: andiko au ujumbe unawahusu akina nani. Ungeanza kusoma kuanzia Rum 8: 31-39.
Back
Top Bottom