Recent content by Philipo D. Ruzige

  1. Philipo D. Ruzige

    Dkt. Sule, kwa suala la Harmonize, wewe ndo haupo sahihi. Harmonize yupo sahihi kushinda wewe

    Nadhani mjadaka umeishia hapo tulipokubaliana kuwa bible imemtaja ni Mungu Baba. Sasa we endelea kumuita Mungu mama au mungu dada Uwe na jioni njema
  2. Philipo D. Ruzige

    Serikali kutumia Tsh. Bilioni 190.57 kununua V8 mpya za Wakuu wa Mikoa, Wilaya na Ujenzi wa Makazi na Utawala

    Maticha nyie kuleni msoto. Mtaletewa tshirt za chama tu. Hii kada ndio mana mama angu alinikataza kabisa kuisogelea
  3. Philipo D. Ruzige

    Christina Shusho: Nilimuacha mume nitimize ndoto zangu

    Kudanga tu hana jingine, sababu alizotoa ni very cheap.
  4. Philipo D. Ruzige

    Dkt. Sule, kwa suala la Harmonize, wewe ndo haupo sahihi. Harmonize yupo sahihi kushinda wewe

    Hapo juu umequote bible. Sasa kwenye hiyo bible, kuna sehemu yoyote Yesu alisema Mungu Mama? Alisema anaenda kwa baba yake kutuandalia makao, mbona sio kwa mama yake? Tumuumbe mtu kwa mfano wetu, mbona hakuumbwa mwanamke?
  5. Philipo D. Ruzige

    TrueStory: Jamaa kaoa, kapost picha, KAJUTA!

    Ifike muda kuweka picha iweni mandatory. Huwezi weka uzi kama huu bila picha
  6. Philipo D. Ruzige

    Nina millioni 1 na laki 3 nifanye biashara gani?

    Tena mbaya zaidi pikipiki used kwa 1.3m . Naungana na wewe, hili suala la pikipiki aliache kwanza
  7. Philipo D. Ruzige

    Kwa hiyo tunasemaje, majemedari wa Iran wamelipiwa kisasi kwa Iran kumjeruhi binti wa Israel

    KItendo cha mtu kupiga tu ubalozi wako maana yake amepiga ardhi yako. Nadhani unaelewa vizuri maana ya ubalozi
  8. Philipo D. Ruzige

    CAG: Kitambulisho cha NIDA kiwe kigezo cha lazima kwa Wanafunzi wanaoomba mikopo

    Wakiamu hawawezi kufeli kabisa. Baada ya miaka kadhaa na mimi nimejaa kingi
  9. Philipo D. Ruzige

    LIVE UPDATES: Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Iran na Israel

    Hawa ni Al Jazeera. Back up ya US, UK na JORDAN imesaidia sana.
  10. Philipo D. Ruzige

    KERO Taarifa Binafsi: Kampuni ya mkopo mtandaoni (online loan app) imenidhalilisha sana

    Hawa jamaa ni kero sana aisee. Mlivyokopeshana hatukushiriki ila mkidaiana mnasumbua wengine
  11. Philipo D. Ruzige

    Msaada: Anayejua mchanganuo wa uniti moja ya maji kwa ndoo pamoja na gharama yake anijuze

    Unit 1 = lita 1000 za maji. Kuhusu bei fanya ukokotozi hqpo kwennye hiyo bili nimetuma
  12. Philipo D. Ruzige

    Bajeti ya mshahara wa sh. 400,000

    Haya maisha aisee. Take home yangu ya kwanza ilikua 448k. Naishi mbezi kibanda cha mkaa, napiga kazi mikocheni Fresh tu kibingwa nikatoboa
  13. Philipo D. Ruzige

    Uhamiaji Arusha kuambiwa na Makonda watoe pasipoti kwa siku saba: Tuna tatizo la siasa nchi hii…

    Ukiwa na maarifa kwa dar unapata same day. Ukiwa na medical report kuwa unaenda kutibiwa unaweza pata same day or 2 days. Kwa kawaida sina uzoefu
  14. Philipo D. Ruzige

    LIVE UPDATES: Yanayojiri kwenye Mgogoro wa Iran na Israel

    unadhani USA ataacha Israel apasuke? Never
Back
Top Bottom