Habari zenu wana jukwaa.
Naomba kuuliza kuhusu biashara ya Nafaka namna ya kupata mahali pa kununua mfano.Mahindi,mchele, maharagwe.nk.
Pia naomba kufahamu Bei halisi ya ununuzi, usafirishaji pia masoko, yaani mara baada ya kununua mzigo nawezaje kupata masoko ya uhakika ili biashara iendelee...
Habari za wakati huu wapendwa.
Naomba kufahamu Bei halisi ya ununuzi wa gunia za Mahindi, mchele, maharage.
Pia gharama za usafirishaji kutoka mikoa mbali mbali Nchini Tanzania 🇹🇿
Asante.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.