Uhusiano wa Neno na Mungu: Yohana 1:1 inaonyesha kuwa Neno alikuwa "kwa Mungu," na si kwamba Neno alikua Mungu mwenyewe. Hii inaweza kueleweka kama kuwepo kwa tofauti kati ya Mungu na Neno, huku Neno likiwa na uhusiano wa karibu na Mungu lakini si Mungu mwenyewe.
Je, Mungu Aliruhusu Lakini Hakuhimiza Mitala?
Mitala ni jambo la kipekee kwa sababu Mungu hakulianzisha, lakini katika hali nyingi aliloruhusu, hakulilaani moja kwa moja. Hii hapa ni uchambuzi wake:
1. Mitala Haikuwa Mpango wa Awali wa Mungu
Katika Mwanzo 2:24, Mungu alianzisha ndoa kama...
Niko safarini kutoka kanda ya kati kuelekea Geita.
Nafika eneo fulani mkoani singida. Wale wenye sare nyeupe wananyoosha mkona kuashiria nisimamishe gari.
Yeye: Nipe leseni yako
Mimi: Hii hapa
Yeye: Una deni la faini
Mimi: Ndiyo
Yeye: Lipia
Mimi: Bado nina safari ndefu.Nina akiba ya kununua...
Wazazi wake walitoroka vita DRC mwaka 1998 akiwa na miaka 6.
Hivyo maisha yake yote ni Hapa TZ, japo kwa sheria za uraia yeye hakuwa raia kwa sababu wazazi wake ni waCongo.
Haya mambo yako Sana mikoa ya pembezoni mwa nchi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.