Ila tunamshukuru sana...maana imagine angepewa mchina huo mradi wa sgr watanzania wasingeneemeka km ambavo wanafurahia kwa sasa kuwa na mturuki...nadhani wenye akili wamenielewa.
Equity bank nawakubali kuliko bank zote nchini...naomba tu waongeze matawi na atm ziwe nyingi...wataisoma namba inavoshuka wao watapitisha mishahara lkn hawatakuw na saving ya mtu ..
Unajua dudus,,kuna changamoto moja bado ina nipa maswali sana kichwani juu ya kurudisha muamala na kuwa na access ya kuitumia tena mda huo huo...hii sehem inabdi waizingatie sana,mfano mimi nakuja kwenye duka lako kununua bidhaa,,nikasema sina cash naweza kukurushia kwenye simu yako ya kawaida...
Kwa mtazamo wangu nilidhani aliyebuni hii system angeweka kipengele cha ku withhold hicho kiasi endapo mtu atataka kuirudisha pesa,,mpka pande mbili zote aliyetuma na aliyepokea kujiridhisha thabiti kma muamala ulikosewa isiwe rahisi rahisi tu li mtu linaingia kwenye menu ya kurudisha muamala...
KOSA ni lao kabisa wanaruhusu vipi muamala kurudishwa kwa mteja wakti wanajua mimi ni wakal wao kwann wasiwasiliane nami ili kujirishisha kwanza ndipo waruhusu wao wanakurupuka tu kurudisha huu ujinga sana tena san...pumbavu zao...wananikera sana mm yani....
Halafu pia uwa nawaza aliyebuni hii system ya kurudisha muamala wewe mwenyewe nahisi kuna vitu vya ziada vinatakiwa kuongezwa isiwe rahisi rahisi tu mtu anaingia anarudisha muamala...hili liubunifu la kishamba tu naona ...bora hata ile ya zamani kidgo upige sim customer care ,,aggrr upumbavu...
Mmh hizi biashara za pesa kichefuchefu kweli ,,,yani mtandao husika wanafanya uhuni km huo dah asee inasikitisha sana ,ivi wanajua pesa ilivo ngumu uku mtaani..halafu bado umechukua jukumu la kusimama kam wakal wao tena kwa pesa zako mwenyewe umeweka ofisi vizuri kwa gharama zako wao kumiliki...
Ilikuwa ivi asee,,,mtu mzma mwenye hekima zake zote kafika kwenye ofisi yangu ya huduma za kifedha akitaka kutoa pesa...ila kabla alikuja na story kadhaa ooh ndugu ofisi yako nzur ila ingependez uweke hiki na hiki ili iwe bora zaidi nikamsikiliza vizuri sna na nikamjib ushauri wako mzuri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.