We njoo, kuonana ni bure, kiongea ni bure, tenA hata ukitaka nikulipie nauli nitakulipia, wacha kiongea sana, njoo then wewe ndo uje utoe ushuhuda kwa wengine
[QUOTE="Mr Miller,
Nikwambie mr miller, kukariri kwako kunaweza kukusababishia kukosa vitu vzr, kwenye maisha ukiwa na maisha ya kukariri vitu unakua hauna tofauti na mtu mwenye mawazo mgando, mtu aliye serious huwa anayatafuta mafanikio kwa gharama yoyote, ttofauti na aliekariri kama wewe...
Naitwa philip nipo Arusha, Natafuta marafiki walio na nia na wito katika kufanya biasha ili kutimiza ndoto zao.
Wapo watu wengi wanatamani sna kufanya biashara lakini inakua ngumu kutokana na either kukosa support, elimu ya biashara au kushindwa kuchagua biashaa sahihi ya kufanya, kutokufahamu...
Siku zote mtu anaehitaji mafanikio anafahamika mkuu, kila mahali, nimeweza kuwatofautisha kutokana na namna wanavyopokea jambo, wanavyouliza, wanavyochallenge nk. So wala sipati shida na wewe mkuu.
Mwenye nia ataingia inbox kila kitu kinahitaji kuwa na nia kamanda, so atakaeingia inbox anaonesha nia ya kutaka kujua biashara najua tutaenda sawa, kwani unaona shida gani kufuata maelekezo mkuu, ni kitu kidogo sana unalalaaama duh!
Hellow friends
Habari,
Ninapenda kuchukua nafasi hii kukupa taarifa itakayoweza kubadili historia ya maisha yako kiuchumi,kama utaamua kuchukua hatua
Taarifa ya fursa ya mafunzo ya biashara bureee itakayokuwezesha kutengeneza mpaka shilingi milioni moja na zaidi kwa mwezi kama ukiamua kuifanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.