Recent content by Phantom Kunai

  1. Phantom Kunai

    Miaka 100 ijayo tulio hai leo tutakua tumefariki

    Kuna dogo ana siku mbili tangu azaliwe, ana chance ya kusurvive mpk miaka 100 na zaid.
  2. Phantom Kunai

    Wanaouchukia Uislam mnajisumbua Farao mwenyewe yalimshinda

    Now nimegundua una IQ ya room tempeture, umetengeneza hoja around PHARAOH, ukabwaga big accusation kusema "pharaoh role model wetu". Nilichohoji ni pharaoh yupi????? Unanijib niache ujinga NISOME upya Hii ni list fup ya Pharaohs, sema yupi ni role model wetu -Narmer -Khufu -Sneferu -Khafre...
  3. Phantom Kunai

    Wanaouchukia Uislam mnajisumbua Farao mwenyewe yalimshinda

    "Pharaoh" ni cheo, unamzunguzia pharaoh yup??? Pharaoh wa mwisho mwenye shina la Ugiriki alikuwa ni Pharaoh CLEOPATRA. Na hiyo ni 300bc. Uislam umekuja miaka 800 mbele, the math is noy mathing
  4. Phantom Kunai

    Ghost of Tsushima best game Asee

    Kama si mzoefu wa gaming, SEKIRO ni moto wa kuotea mbal
  5. Phantom Kunai

    Ghost of Tsushima best game Asee

    Nimeimaliza kam mara 3 hv, na bado ngumu 😄 😆
  6. Phantom Kunai

    Ghost of Tsushima best game Asee

    Cheza na SEKIRO:Shadow die twice. Ukiiwez hii game bas utamrahisishia kaz JIN SAKAI
  7. Phantom Kunai

    Mange Kimambi na washirika wako nakwambia hivi: Maandamano ya kweli huwa hayatangazwi hii movement ishafeli big time 100%

    Maandamano ni HAKI ya kikatiba , hayatakiwi kupangwa kwa siri kill linayemhusu ashiriki na walengwa wajue, ili pia vyombo vya usalama walinde usalama wa waandamaji. Kuvizia maandamano ni mwanzo wa MAPINDUZI (e.g ZANZIBAR REVOLUTION). Ni vile tunaishi kwenye UNCONSTITUTIONAL COUNTRY
  8. Phantom Kunai

    Nampenda sana ila kwa hili naombeni maoni

    Itabidi ninunue kabati zima sasa
  9. Phantom Kunai

    Nampenda sana ila kwa hili naombeni maoni

    Wanafunzi ndo wenye haiba tu siyo, uvaaji wake upo off kabisa na hata sitak awe slay queen
  10. Phantom Kunai

    Nampenda sana ila kwa hili naombeni maoni

    Safi sana kwa kuliona hilo hata mimi nimeanza kuhisi huwenda hata nifanye nin hatobadilika ndo alivyo
  11. Phantom Kunai

    Nampenda sana ila kwa hili naombeni maoni

    Watu hawasemagi vitu kama hiv kwa kuwa ni vidogo ila vinawatafuna sana tu, mimi nimefunguka
  12. Phantom Kunai

    Nampenda sana ila kwa hili naombeni maoni

    Madogo yana makubwa ndani, vidogo vinaondoa furaha na amani kwa kuwa unaamini ni vidogo havina tija unavipuuza. Unajikuta una hasira hujui zinatoka wap kumbe madogo yanakutafuna.
  13. Phantom Kunai

    Nampenda sana ila kwa hili naombeni maoni

    Wazo zuri ila ningependa apendeze kwa namna yake, cjui kuhus fashion za kike ila i can see mtu akipendeza
  14. Phantom Kunai

    Nampenda sana ila kwa hili naombeni maoni

    Kamba hukatikia pembamba, mambo madogo sana yanavunja ndoa
  15. Phantom Kunai

    Nampenda sana ila kwa hili naombeni maoni

    Nguo ya ndani ni kawida ila nikichukua point yako inabidi nimjazie kabati zima la nguo tofauti na time amby nengemnunulia nguo kwa kuwa ni zawad na ni nzuri na si kwa kuwa hapendezagi.
Back
Top Bottom