Recent content by Petro E. Mselewa

  1. Petro E. Mselewa

    GE2025 Bwege: Vyama vyote vya upinzani vilipaswa kuungana kususia uchaguzi kudai reforms

    Hivi ni V8 tu au hadi kujaziwa mafuta na madereva kwa kipindi chote cha kampeni? Msaada kwenye tuta wakuu
  2. Petro E. Mselewa

    Naibu Waziri aliyehonga wananchi nyama ya ng'ombe 500 alipigwa chini na kachero la uchafuzi

    Linaongelewa Jimbo la Butiama, nyumbani kwa Hayati Mwalimu J.K. Nyerere. Mbunge aliyemaliza muda wake ni Ndugu Jumanne Sagini. Aliyembwaga ni Ndugu Wilson Mahera. Am I correct?
  3. Petro E. Mselewa

    Hakika Tanzania ni Tajiri hadi maji yanawaka

    Hapo ni wapi? Ingawa mimi si mtaalamu wa nishati, hapo panaweza kuwa na gesi asilia...
  4. Petro E. Mselewa

    Rais Samia umeruhusu hii? Ichukulie hatua kali

    Mkuu, hao waliochapwa walikuwa wafanyabiashara wa kununua vyuma chakavu. Katika biashara yao ikatokea wameuziwa viti na meza za shule pale Arusha kama vyuma chakavu. Walipokutwa navyo, pamoja na kujieleza mbele ya DC Kihongosi kama alivyokuwa, wakatandikwa viboko kama njia ya kuwafunza uzalendo!
  5. Petro E. Mselewa

    Rais Samia umeruhusu hii? Ichukulie hatua kali

    Hizi hizi. Angalau ujumbe tu utumwe
  6. Petro E. Mselewa

    Rais Samia umeruhusu hii? Ichukulie hatua kali

    Mkuu, hii ni ya zamani sana. Wakati huo Kihongosi alikuwa DC Arusha. Kwasasa amekuwa RC hukohuko. Kimsingi, kitendo kilichofanyika kilikuwa ni kinyume cha sheria, taratibu na kanuni. Sijui kwanini waathiriwa hawakumburuza mahakamani.
  7. Petro E. Mselewa

    GE2025 'Babalevo' amejiharibia, amepiga teke fuko la pesa!

    Huyu hata Bungeni anaweza kumvamia Spika na kumpora 'kihuni' karatasi kama alivyofanya kwa Katibu wake wa Wilaya wa CCM
  8. Petro E. Mselewa

    GE2025 'Babalevo' amejiharibia, amepiga teke fuko la pesa!

    And he opposes No Reforms, No Election...
  9. Petro E. Mselewa

    GE2025 'Babalevo' amejiharibia, amepiga teke fuko la pesa!

    Clayton Chipando almaarufu kama Babalevo, aliyekuwa mtiania na mgombea wa ndani wa Ubunge kwa tiketi ya CCM Jimbo la Kigoma Mjini amejiharibia. Kama ulikuwa ni mtego, umemnasa. Kitendo chake cha kumpora 'kihuni' karatasi ya matokeo Katibu wake wa CCM wa Wilaya, aliyekuwa Msimamizi wa Uchaguzi...
  10. Petro E. Mselewa

    GE2025 Wajumbe: Tutaendelea na Masache Kasaka jimbo la Lupa

    Masche Kasaka ni mtoto wa Hayati Njelu Kasaka aliyekuwa Mbunge wa Jimbo hilohilo?
  11. Petro E. Mselewa

    Kwanini Polepole halioni hili? Ni makusudi au bahati mbaya?

    Urais wa Rais Samia ulianza 2021. Anaomba kupata awamu yake ya pili. Haombi kama Makamu wa Rais, anaomba kama Rais aliye madarakani
  12. Petro E. Mselewa

    Mwaka 2020: Hayati Magufuli alichukua fomu ya kuwania Urais ya CCM; kusaka wadhamini na kuidhinishwa

    Mkuu, hiyo ni michango ya kuchukua fomu ya INEC na si fomu ya mchakato wa ndani ya CCM. Hebu soma hizo habari
Back
Top Bottom