Recent content by Petro E. Mselewa

  1. Petro E. Mselewa

    Mfahamu malkia Victoria wa Uingereza

    Mkuu, PM walikuwepo tangu enzi hizo. Tazama hapa: Year Prime Minister (party) Victoria's British prime ministers 1835 Viscount Melbourne (Whig) 1841 Sir Robert Peel (Conservative) 1846 Lord John Russell (Whig) 1852 (February) Earl of Derby (Conservative) 1852 (December) Earl of...
  2. Petro E. Mselewa

    Mfahamu malkia Victoria wa Uingereza

    https://en.wikipedia.org/wiki/Queen_Victoria
  3. Petro E. Mselewa

    Mfahamu malkia Victoria wa Uingereza

    Lord Melbourne na wengineo....ni zaidi ya kumi
  4. Petro E. Mselewa

    Kwanini RC Makonda amekinzana hadharani na msimamo wa Rais Samia?

    Kaka una hoja, usikilizwe
  5. Petro E. Mselewa

    Kwanini RC Makonda amekinzana hadharani na msimamo wa Rais Samia?

    Aisee...kumbe mchochezi ni yeye!?
  6. Petro E. Mselewa

    Kwanini RC Makonda amekinzana hadharani na msimamo wa Rais Samia?

    Sikusikia majibu Mkuu. Nisaidie
  7. Petro E. Mselewa

    Kwanini RC Makonda amekinzana hadharani na msimamo wa Rais Samia?

    Au kumwaminisha kuwa yeye ni mwema, mwambata na mtetezi kuliko wengine?
  8. Petro E. Mselewa

    Kwanini RC Makonda amekinzana hadharani na msimamo wa Rais Samia?

    Tarehe 13 mwezi uliopita, Ikulu jijini Dar es Salaam, Rais Dr. Samia Suluhu Hassan alitoa msimamo wake kama mkuu wa nchi na wa CCM kuhusu 'makundi' na 'watoto' wake kisiasa. Katika hafla ya kuwaapisha viongozi mbalimbali aliowateua, Rais Samia alisema kwa umakini, umadhubuti na wazi kabisa kuwa...
  9. Petro E. Mselewa

    Pongezi Rais Samia kwa Kutuhisania Openness and Transparency Kwenye Uteuzi, Mnaonaje Ifanyike Kwenye Utenguzi na UtumbuzI Iwe ni Haki na Sio Hisani?

    Mkuu, kaka Pascal Mayalla labda anaponzwa na ukomavu wake (umri na uelewa mpana ukiwemo). Nakumbuka miaka ya 1998-2000 alikuwa akija kutupa Semina ya Maaadili na Malezi Mema pale Don Bosco Upanga viongozi wa TYCS Sekondarini (Jumuiya ya Wanafunzi Wakatoliki). Hakika, kumteua ni kuruhusu critical...
  10. Petro E. Mselewa

    Mwanangu Makonda, umeichoka na kuikinai nafasi yako chamani?

    Yametimia...kuna watu humu wanasaga sana kunguni kwa hakika
  11. Petro E. Mselewa

    Ahmed Ally, Msemaji wa Simba, Mungu anakuona!

    Namuombea sana Mkuu
Back
Top Bottom