Mkuu, PM walikuwepo tangu enzi hizo. Tazama hapa:
Year
Prime Minister (party)
Victoria's British prime ministers
1835
Viscount Melbourne (Whig)
1841
Sir Robert Peel (Conservative)
1846
Lord John Russell (Whig)
1852 (February)
Earl of Derby (Conservative)
1852 (December)
Earl of...
Tarehe 13 mwezi uliopita, Ikulu jijini Dar es Salaam, Rais Dr. Samia Suluhu Hassan alitoa msimamo wake kama mkuu wa nchi na wa CCM kuhusu 'makundi' na 'watoto' wake kisiasa.
Katika hafla ya kuwaapisha viongozi mbalimbali aliowateua, Rais Samia alisema kwa umakini, umadhubuti na wazi kabisa kuwa...
Mkuu, kaka Pascal Mayalla labda anaponzwa na ukomavu wake (umri na uelewa mpana ukiwemo). Nakumbuka miaka ya 1998-2000 alikuwa akija kutupa Semina ya Maaadili na Malezi Mema pale Don Bosco Upanga viongozi wa TYCS Sekondarini (Jumuiya ya Wanafunzi Wakatoliki). Hakika, kumteua ni kuruhusu critical...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.