Habari waungwana,
Leo kidogo tupate nafasi ya kusemea mambo ya michezo hasa huu mchezo pendwa, mchezo wa mpira wa miguu. Kifupi tuseme mchezo wa mpira wa miguu kwa ngazi ya ligi yetu inafanya vizuri kwa ukanda huu wa Africa Mashariki. Hilo ni jambo la kujivunia.
Lakini pamoja na hayo kumekuwa...
KIZUNGUMKUTI: Waweza ita hivyo ama vinginevyo, lakini katika hili linanipa shida kwa ninavyoendelea kukua, kuishi na kuyaona mambo yanayofanyika katika nchi hii. Najaribu kujiuliza ni lini basi mambo haya yatafika ukomo? Kila tunapoamka yapo na yanaendelea. Najiuliza ni nani basi ataweza kuwa...
ELIMU YA MTOTO WA KITANZANIA
Na Julius Peter
Ni asubuhi tulivu ikiwa ni saa 12:00 ya asubuhi hii, natoka kwenye makazi yangu na kuelekea barabara kuu ili kuweza kupata usafiri wa kuelekea katika shughuli zangu za kila siku. Kwa mwendo wa dakika chache najikuta tayari nimefika katika kitu cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.