Recent content by petercharlz255

  1. petercharlz255

    Mimi (wewe) ni nani haswa? Majibu yanaweza kufumbua fumbo la mwanadamu ni nani na asili yake pia hatima yake

    Bilive in God Like the sun up in sky Science can tell us how But it can't tell us why J Cole
  2. petercharlz255

    Mimi (wewe) ni nani haswa? Majibu yanaweza kufumbua fumbo la mwanadamu ni nani na asili yake pia hatima yake

    Tuambie utuelimeshe na sisi kimantiki, asili ya ulimwengu nini? ili na sisi tufaidike na elimu yako.
  3. petercharlz255

    Mimi (wewe) ni nani haswa? Majibu yanaweza kufumbua fumbo la mwanadamu ni nani na asili yake pia hatima yake

    Samahi bro nataka kuuliza tu Kwani kitugani kisayansi hakiwezekani Vipi kuhusu hekaya ya bing bang?
  4. petercharlz255

    Mimi (wewe) ni nani haswa? Majibu yanaweza kufumbua fumbo la mwanadamu ni nani na asili yake pia hatima yake

    Ok nimekuelewa mzee lengo sio kubishana ila kupata jibu ambalo litakuwa na mashiko zaidi, Sayansi unaundwa na fomula ambazo zinatusaidia kulijua jambo kwa ushahidi na kweli. sayansi ina mkusanyiko wa Formula ambazo zinatengenezwa kwa lengo la kutatua matatizo au kuwasilisha maelezo ya kisayansi...
  5. petercharlz255

    Mimi (wewe) ni nani haswa? Majibu yanaweza kufumbua fumbo la mwanadamu ni nani na asili yake pia hatima yake

    Nimekufatilia sana majibu yako inaonekana pengine unakitu unakijua zaidi tofauti na watu wengi kuhusu ulimwengu. Hauamini katikati uwepo wa Mungu (Imani). Na unaamini katika mchakato wa kawaida wa maisha, yaani ili kitokee hiki lazima ufanye hivi. Kiufupi iyo ndio sayansi inazingati ushaidi na...
  6. petercharlz255

    Father and Daughter( Hadithi ya Kiswahili)

    Mwandishi wa kitabu: Peter Charlz Mchoraji: Peter Charlz Instagram / Twitter / Facebook: petercharlz255 Email: petercharlz255@gmail.com Shukrani za dhati kwa kila alieshiriki kuandaa kitabu hiki. Mhakiki : Augustino Peter Instagram : babadenze BOBOtheBEST Studios Instagram: bobothebeststudios &...
  7. petercharlz255

    SoC02 Njia mbili za kifikra kati jambo moja na maamuzi sahihi | siasa, ndoa, dini...

    Kupitia jukwaa hili nataka kuwafikishia elimu hii watumiaji wa jukwaa hili la jamii kuhusu NJIA MBILI ZA KIFIKRA KATIKA JAMBO MOJA NA MAAMUZI CHANYA. Kwa ufafanuzi zaidi ili kuleta maana harisi niliyotazamia katika jambo nalotaka kuzungumzia tuchukulie jambo hilo labda ni kosa katika sehemu...
Back
Top Bottom