hii serikali kila kukicha inatufanya tuichukie huku mbozi waalimu wapya karibia wote hawajapata salary ya mwezi huu huku ya mwezi wa 4 hadi leo na yenyewe kama utani vile.
Dah! Inauma sana
hongera kwa kufaulu mdogo wangu ila soma unachokihitaji ndugu wanaweza kukupeleka pabaya wanakushauri kusomea kitu kingine afu ukimaliza kazi hakuna na wenyewe huwaoni
hakurekebisha kwa sababu hakupata taarifa kama yalirudishwa ya waliokosea akawa amechelewa, ila uwe makini sana ili wakitoa tu wale wa marekebisho uangalie na ufanye kwa wakati ili dogo apate loan maisha ya chuo magumu sana bila hiyo kitu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.