mbona tatizo la kawaida, kama vipi mimi nina dawa ya kienyeji. itatibu matatizo kama hayo, wengi wamepona kabisa matatizo yanayofanana na hayo pengine ne huyo wako, dawa ni bure kabisa. Kama una shida kweli na upo tayari kumsaidia mwenzako wasiliana nami, nipo Iringa Pevikaone@gmail.com
Hili jambo ni gumu,
kuna baadhi ya maeneo limekuwa jambo la kawaida mtu akiferi anaringa 'nitazipata tu' wapi? haya yote ni matatizo ya wakati ambao tupo. thamani ya viungo vya mwanadamu vimeshuka bei, na ndo maana hata walafanya mapenzi na wanyama. kuhusu hili ni moja wapo ya mambo yanayotokea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.