Swadakta maalim! Ktk hilo , linawafanya kujibania wigo wa kupata wenza sababu ya fikra potofu za kuolewa lazma upitwe umri na majina ya kijinga kama neno kiben10 mwisho wa siku wanalalama wanaume hakuna kumbe ..
Wao ndio wamewajenga wanaume kuamini ktk kuoa ni vzur kuangalia mwenza ambae umri...
Girls of nowadays are all after money, thy dont take love at first hand so far thy need a person who is almost already financially fine rather than finding together all those money in their relationship with is own suitor always it comes to be impossible..
Vipi kwan wazee we2 kipind hiko...
Wanawake nao ni pasua kichwa kwa kwel unakuta kijn kama mm bado cjajiimarsha kimaisha yaani kiuchumi niko substandard so far vijipesa vya vidogo avinatatzo kwangu lakn eti anakubwaga anaenda kujenga mahusiano na danga la miaka 65 linampangishia nyumba, harafu eti anata mm nije kumuoa no way...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.