Recent content by peter ajali francis

  1. P

    JamiiForums Tanzania Asanteni sana PSU chini ya TISS kwa kazi nzuri na iliyotukuka mlioifanya kwa huyo aliyekuwa 'mtoto mpendwa'

    Huyu mtu kawa tajiri kupita maelezo na hii inatuchafua kwenye chama na kujiuliza hivi kweli ukuu wa wilaya na baadae ukuu wa Mkoa wa miaka Minne, umekuwezesha vipi kuwa na ukwasi kwa kiasi hiki? Ni dhahiri ziko njia chafu umezipitia zilizokupa hayo yalokupa ukwasi huo. Mkuu wetu Katu hawezi...
  2. P

    JamiiForums Tanzania GE2020 NCCR yasema wako tayari kushirikiana na CHADEMA na vyama vingine kuelekea Uchaguzi Mkuu!

    Hapa nionavyo mimi ni kwamba, wengine wanaomba ushirikiano ili walete ushirikina kwa kuvujisha / kuchunguza kinachoendelea kimikakati na vinginevyo ili wasipitwe kuripoti wanayoyahitaji. Kuweni watu wenye macho yamulikayo gizani.
  3. P

    JamiiForums Tanzania TANZIA Benjamin William Mkapa, Rais wa Tanzania wa Awamu ya Tatu afariki dunia

    Binafsi pamoja na mazuri mengine mengi aliyoyafanya nitamkumbuka zaidi katika utawala wake alivyodhiditi mfumoko wa bei. Bidhaa mbalimbali katika utawala wake hazikupanda hata kidogo na hata baadhi kushuka bei. Thamani ya fedha ilionekana. Pumzika kwa amani mzee wetu.
  4. P

    JamiiForums Tanzania Kama David Silinde aliitumikia CCM kwa siri kwa miaka 5 aliyokuwa Bungeni inawezekana sasa anaitumikia CHADEMA akiwa CCM

    Wamedanganyika ndio maana kapata hizo kura vinginevyo asingefikisha zaidi ya Mia
  5. P

    JamiiForums Tanzania Mafanikio ya Rais Magufuli 2015 - 2021

    Hi
  6. P

    JamiiForums Tanzania Chama cha wasiokuwa na ajira CWA

    Nawaonea huruma sana vijana Waliomaliza toka 2015 na hawajaajiriwa mpaka Sasha zaidi wale walimu wa Sanaa
  7. P

    JamiiForums Tanzania Hatima ya RC Makonda mikononi mwa wabunge wa CCM

    Makubwaaa.
Back
Top Bottom