Recent content by pet geo pet

  1. pet geo pet

    Wenyeji wa Zanzibar, naombeni muongozo tafadhali

    Nenda matemwe,na kiwengwa...pia numgwi...zipo nyingi sana
  2. pet geo pet

    Nafasi ya kazi ya kuuza liquor store

    😂😂😂😂😂
  3. pet geo pet

    Niko na ujuzi wa kutengeneza sabuni

    Unapatikana wapi kijana
  4. pet geo pet

    Nina mtaji wa 2M naomba wazo la biashara

    Kwan hizi pumba zinatumika kufanyia nini??
  5. pet geo pet

    Nafasi za kazi

    Mauzo kama kusajiri lain au kuna nini kingine...mm nipo mwanza
  6. pet geo pet

    Biashara ya dhahabu last season will be On June 2024

    Nimezaliwa kwenye dhahabu ,kweli kabisa dhahabu ikikubali ni dakika Tu unakuwa mtu mwingine kweny hii Dunia..na kukufirisi ni dakika Tu...pia ushirikina ni lazima kwenye dhahabu...hakuna Mungu kule...hongera kama zimekukubali..Mimi zilinigomea kbs..mpka sshv nipo mjini Tu nasaka chenji ndogo...
  7. pet geo pet

    Weka Profile yako hapa, muajiri akiiona akufuate PM

    Status:job seeker Age:31 Education: bachelor of arts with education (History$English) Availability:mwanza other skills: computer and driving skills
  8. pet geo pet

    Ninampango wa kufungua kampuni ya uongozaji wa watalii ndani ya Tanzania

    Naomba kufanya kazi na wewe ...napatika mwanza..kama kingereza najua Sana zaidi ya sana
  9. pet geo pet

    Afisa Utawala anahitajika Waja Hospital Geita

    Wewe utakuwa haujaishi DAR au kufika kabisa ..kule kuna mzunguko mkubwa sana wa pesa ..yaan hata ukisema uuze nyanya Tu...unatoboa kule..mm natamani Sana nikaishi DAR...sema basi Tu sina connection...unaambiwa 3billion zipo mitaani kwa siku
  10. pet geo pet

    Nina mtaji wa 2M naomba wazo la biashara

    Duuh!hii hapana...nitakamatwa mapema sana...
  11. pet geo pet

    Nina mtaji wa 2M naomba wazo la biashara

    Daah!mkuu wazo la bishara nalo mpka nikulipe kbs??kuwa na huruma bas
Back
Top Bottom