Nimezaliwa kwenye dhahabu ,kweli kabisa dhahabu ikikubali ni dakika Tu unakuwa mtu mwingine kweny hii Dunia..na kukufirisi ni dakika Tu...pia ushirikina ni lazima kwenye dhahabu...hakuna Mungu kule...hongera kama zimekukubali..Mimi zilinigomea kbs..mpka sshv nipo mjini Tu nasaka chenji ndogo...
Wewe utakuwa haujaishi DAR au kufika kabisa ..kule kuna mzunguko mkubwa sana wa pesa ..yaan hata ukisema uuze nyanya Tu...unatoboa kule..mm natamani Sana nikaishi DAR...sema basi Tu sina connection...unaambiwa 3billion zipo mitaani kwa siku
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.