Recent content by pet geo pet

  1. pet geo pet

    JamiiForums Tanzania Samia Hakufaa si tu kuwa Rais bali hata uwaziri hawezi

    hata uwenyekiti wa mtaa hawezi
  2. pet geo pet

    JamiiForums Tanzania KERO Mkaguzi wa magari Mwanza.. vehicle officer ni kero

    Vehicle officer Mwanza, ni usumbufu sana. Ofisi hii imekuwa ni kero kwa jiji la mwanza,watu wengi wanasubiri huduma lakini yeye hayupo... na Cha kushangaza ofisi yote,yupo mmoja tu mkoa mzima. Serikali inatakiwa kuliangalia hili kwa undani.
  3. pet geo pet

    JamiiForums Tanzania RC Chalamila: Kukaa na Milioni 10 nyumbani ni kosa kisheria

    kudai Kodi mnatumia nguvu nyingi hata kufunga watu au kutaifisha ..ila kushugulika na majizi na mafis
  4. pet geo pet

    JamiiForums Tanzania Amani bila haki ni sawa na kusitisha vurugu kwa muda tu

    kilichootekea Leo kwenye mpira wa taifa stars vs Morocco kinaonyesha njisi Gani haki ya mtu ikiminywa huwa inauma sana...turudi wa wale masheik ubwabwa wanaosema Amani kwanza haki badae...ebu kaangalie mpira huo Kisha mjifunze
  5. pet geo pet

    JamiiForums Tanzania Shida madrasa au bahari??

    UTAWALA WA NYERERE. •Hapakuwepo na mtoto wake mahala popote kisa Baba ni raisi. UTAWALA WA MWINYI •Watoto wote walikuwemo kwenye system, hadi watoto wa ndugu n.k UTAWALA WA MKAPA •Hakuna mtoto wake alisikika popote akifanya lolote kwa mgongo wa uraisi wa babake. UTAWALA WA KIKWETE •Miraji na...
  6. pet geo pet

    JamiiForums Tanzania Ushindi Wa Professa Janabi Wanibubujisha Machozi Ya Furaha nikiwa Nimepiga Magoti Mbele Ya Picha Ya Rais Samia Kumshukuru kwa Ushindi huu aliotupatia.

    Si kweli hiyo picha itakuwa ya zaman... airport walikuwepo watu wachache sana...Tena waliosombwa na mabus ya shule na daladala...nilikuwepo acha uongo hizo picha ni uongo mkubwa sana
  7. pet geo pet

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 RC Mbeya, Homera: Wataumiza vidole kwa kuandika 'No Reforms No Election' sisi tunagonga uchaguzi wetu

    Kwa kauli hizi Haina haja ya uchaguzi ..wangejipitisha tu
  8. pet geo pet

    JamiiForums Tanzania JF challenge ya "NO REFORMS, NO ELECTION": Target replies 3K

    No reform no election
  9. pet geo pet

    JamiiForums Tanzania Umafia umeanza kukomaa nchini; je, kuna watu bado wanaamini JPM alikufa kwa ule ugonjwa?

    Alipigwa chini JPM....CCM NI janga...wanawejeana sumu kila siku
  10. pet geo pet

    JamiiForums Tanzania Tazama pitch ya Bilioni 31 iliyoidhinishwa tangu mwaka 2023 na mgombea urais wa CCM anayetaka kurudi ikulu kwa mara ya pili

    Upigaji tu hii nchi...RAIS alikuwa magufuri...acha tundu lissu awasumbue kbs
  11. pet geo pet

    JamiiForums Tanzania Nataka niache kazi niende Dar es salaam kuendesha boda yangu

    Kihuni unamanisha Nini???make na Mimi nipo vzr sana ..aisee kama Kuna folen ndo huwa nazipenda
  12. pet geo pet

    JamiiForums Tanzania Nataka niache kazi niende Dar es salaam kuendesha boda yangu

    Sanaa Tena sana
  13. pet geo pet

    JamiiForums Tanzania Nataka niache kazi niende Dar es salaam kuendesha boda yangu

    Mimi naenda kutegemea bolt sio vijiwe
  14. pet geo pet

    JamiiForums Tanzania Nataka niache kazi niende Dar es salaam kuendesha boda yangu

    Mwanza hamna pesa mbona
Back
Top Bottom