Recent content by Pescam

  1. P

    Nauza gari toyota rav 4

    Alie kuwa serious katika biashara aongee acheni kucomment tu your wasting your time for nothing. offer hiyo iko chini sana sana kwa gari hiyo.
  2. P

    Nauza gari toyota rav 4

    Model 1997 odometer 85,000 bei million 13,700,000. Namba chc double airbag haijatumika hapa tz. Import from japan check photo. Contact 0756 600311, 0782 335151
  3. P

    Kiwanja keko madawa

    Tafadhali naomba namba zako za simu ili tuweze kuwasiliana nione mahali tufanye biashara. Au nipigie ktk namba hizi nilo serious 0715 800888 and 0756 600311.
  4. P

    Kilimo cha matikiti maji (watermelon): Ushauri na Masoko

    Mwana Jf naombeni mawazo yenu kuhusu matikiti kuwekea mbolea za kisasa yaani Urea+Can+Npk hizi zinawekwa wakati mche una siku ngani naomba ufafanuzi wake na kipimo size gani kwa kila mche waungwana miche yangu ina wiki mbili sasa naomben msaada wenu ktk hilo jamani asanteni.
  5. P

    Kiwanja kinauzwa Kibada

    ok unapatikana vipi weka namba yako tuongee biashara.
  6. P

    Kiwanja kinauzwa kipo kigambon mikwambe

    Kuna umbali gani kutoka barabara kubwa ya lami? Na hivyo ni viwanja vya kienyeji sio? Vipi miundombinu iko iliyofika kama umeme na venginevyo?
  7. P

    Pikipiki inauzwa

    Mkuu ina muda gani barabarani? Au imesajiliwa lini tuambie namba yake tuone.
  8. P

    Mashine zote za shamba zipo

    Asante kwa kutoa taarifa muhimu kwa wakulima. Mie nahitaji mipira ya kumwagilia shamba yaani drip irrigation pipe ningependa kujua hiyo ndio uliyokusudia kuwa unayo ama ni mipira ya kawaida uliyonayo nasubiri jibu lako ili niweze kukutafuta asante.
  9. P

    Siku nilipopata binti wa kiarabu mkoani Tanga, sikuamini nilichokiona.

    Yote mnayosema mjue kuwa hayo si mambo ya kuweka humu maana hayana faida yoyote kwa jamii wewe uliekumbana na hayo ujue kuwa sio jambo la kujisifu hilo ni kosa umefanya la dhambi kubwa na unavyojitangaza ndio unazidi kujipotoa, mie nakuombea uongofu kwa hayo.
  10. P

    Rav 4 for sale

    Toyota rav 4 L Import from japan. Haijatumika kabisa hapa bongo. Km 136,000 Model 1997 Engine 3S cc 1998 Bei million 14, ukiwa serious tuwasiliane 0756 600311,0782 335151
  11. P

    Natafuta RAV4 ya mwaka 1998

    Confirm ni model ya mwaka 1998 - Imetembea kilomita 136,000 - Hii gari iko Dar showroom kwa sasa lkn bei ya huko wanaanzia juu kidogo mie mwenyewe nitakupa kwa offer yako Asante mkuu.
  12. P

    Natafuta RAV4 ya mwaka 1998

    Hiyo mkuu angalia picha haijatumika hapa Bongo ukiipenda ni Pm bei hiyo uliyo offer zaidi tuwasiliane 0715800888
  13. P

    Ingawa sina Utaalamu wala Uzoefu nacho, Nimeamua Kuingia kwenye Kilimo!

    Habari njema hizo kutoka kwako kaka mie nitakupigia siku ja jumapili. ili niweze kupata ushauri zaidi wa kilimo cha umwagiliaji kutoka kwako natumai nitapata mwanga wa kuweza kutimiza ndoto yangu.
Back
Top Bottom