Hizo tuhuma zote au masuala unayomshauri ayafanyie kazi kama yana ukweli basi yeye alikuwemo na aliyashupalia aliokua kwenye serikali.
Maneno yake hayana ukweli au lepe la uaminifu ni mtu mwenye tamaa ya shavu tu
Kanisa, misikiti, hekalu, jamatini vikae nje ya siasa kabisa sababu waumini wao wako kwenye milengo tofauti ya kisiasa
Hata kuwaweka viongozi wa dini kwenye nyadhifa za siasa si kitu kizuri.
Ugomvi wa wanasiasa na wanahabari hutokea kila siku na kila mahali. Angalia Trump na media za Amerika.
Pia huyo balozi wa Amerika aliotoa maneno huko Lebanon asili ya ni kutoka Lebanon
Usisahau Trump alivvyo watukana waafrika kua wanatoka kwenye nchi za kinyeo
Kwa usishangilie ukiona mwanasiasa...
Rostam katoa ufafanuzi nzuri na kamili na katenganisha pumba na nafaka.
Hoja za watu waliofeli kama Polepole hazina mashiko kabisa. Polepole ni mla Kodi na Rostan ni mlipa Kodi. Polepole ni muajiriwa wakati Rostam anaajiri maelfu ya watu direct and indirect. Polepole anamaliza oxygen bila faida...
Wewe ujinga umepiga nanga kichwani hakuna namna ya kukuokoa.
Unapoteza muda wako wote kuuandika huu ukoko wa uzushi badala ya kutumua muda huu kufuta huo ujinga sugu. Badilika
Polepole masikini uso umempauka kwa kujitia presha. Kusha ona hakuna anaempa heshima Tena.
Rudi kwa mama umuabgukie miguuni upate radhi. Vinginevyo ni uchizi tu
Acha silaha mkuu hiyo ni balaa , pia angalia quality ya askari kwenye paredi hiyo utadhani wamepagwa kwa lesser na pia walivyo wakakamavu.
Sasa hapa chini angalia paredi ya Marekani askari wamekaa kishoga tu
https://youtu.be/P3S4aTyab2U?si=rF5nSY6dUd9m57jo
Hizi ni fikra hatari sana kwa ustawi wa jamii duniani. Ikiwa kila mtu atakua mbinafsi haitaki kuhusika na kuendeleza kizazi kweli kutakuwa na mustakbali wa taifa ?
Hizi fikra sumu kiwanda Kiko nchi za magharibi na zimeanza kutandaa duniani.
Angalia nchi zao zinaanza kuathirika kwa kuwa na wazee...
Kipofu utaonaje? Mtandaoni husomi habari za uchumi kutoka vyanzo vya habari vya ndani na nje. Wewe upo kwenye longolongo na porojo mtandaoni.
Siku zote Kuna habari tangu miamba DP World iingie bandarini ufanisi umeogezeka na gharama za uendeshaji Zimepungua. Nchi za jirani Sasa Zina Imani na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.