Majanga bibi yako, bila hao huwezi hata kutype humu ndani, kama uamini omba wagome siku moja.
Kuna mwaka kigoma waliandamana waondolewe mipakani, siku iliyofuata waliandamana kwa machozi kuomba warejeshwe na wakawanachanga hela ya mafuta kufanya ulinzi,
Mlioko mjini hamuoni umuhimu wao.
MTU...
Wahudumu wa airtel mbeya branch na mlimani city(kaunta namba 4)(yule dada mnene anaevaa kama Malaya na kukaa mapaja yote yako nje kama barmed wa kangaroo )
Wanaangalia salio za wateja kisha wanafanya mipango ya kuwaibia wateja,
Mimi qamefanikiwa kukwapua 50,000=
Viongozi wa airtel fanyieni...
Tatizo mnapenda kutunishana misuli na wanajeshi, mpaka gari LA Jeshi unagoma kulipisha?
What do you expect?
Ningekuwa Mimi ningemuambia akupushi uingie mtaroni ubaki unalia na miti?tukienda bank hatupangi foleni ,tukipa road tunatanua, ukileta ujinga unapambana na hali yako kama...
Inasemekana alikamtwa na Polisi kwa kosa la uzururaji,
Mabomu yanarindima kuwatawanya vijana wenye hasira muda huu
======
Kijana Allen mkazi wa Kata ya Iyela, alikamatwa juzi akiwa na Wenzake aliokuwa akicheza nao Pool Table a taarifa zinadai kuwa alipigwa sana na Askari wa Kituo cha Kati...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.