Naweza kusema sikuwahi kumpenda mwanamke, kama ilivyokuwa binti huyu. Maana nilimkuta bikra, hilo ndiyo likanizuzua kabisa nikawa sijui kama ni mbuzi huyu kamba haijakatika.
basi nilidumu naye miezi, nikiwa likizo ya kumaliza mwaka chuoni. Kisha nikaenda kumalizia mwaka wa mwisho, akiniahidi...
Aliwahi kuwafanya wengine wampende na hata wengine wajute kumfahamu...... Aisee tulimtambua kama kubeli, je ulimtumia?
Twambie ulipatwa na mkasa gani kisa kubwia hii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.