Recent content by Penyenia

  1. P

    Kilimo cha Mapapai: Ushauri wa Kitaalamu, Changamoto na Masoko yake

    mkuu Utandu kumbe wewe ndio mmiliki wa mipapai hii, maana naona umeielezea mpaka umri wake kuwa inamiezi sita . Je unalimia wapi? Katika kuperuzi katka mtandao hiyo mipapai nimeikuta sehemu flan nikai screen shot
  2. P

    Kilimo cha Mapapai: Ushauri wa Kitaalamu, Changamoto na Masoko yake

    Job K ahsante kwa mchango wako, ila kuhusu kufka SUA napata changamoto kidogo kwani npo Tanga. Vinginevyo niseme tena ahsante.
  3. P

    Kilimo cha Mapapai: Ushauri wa Kitaalamu, Changamoto na Masoko yake

    wajuzi wa kilimo cha papai nasubiri najibu yenu ,tafadhali msichoke kunielimisha.
  4. P

    Kilimo cha Mapapai: Ushauri wa Kitaalamu, Changamoto na Masoko yake

    Habari za muda wanajamvi! kutokana na dhamira yangu ya kulima papai naomba kueleweshwa yafuatayo: .Ekari moja kuingia mipapai 1000-1200 ni kwa umbali gani wa mche hadi mche na mraba hadi mraba? .Kutokana na michango nlopata humu jamvini na kwingineko, imenidhihirikia kuwa papai lipendwalo...
  5. P

    Kilimo cha Mapapai: Ushauri wa Kitaalamu, Changamoto na Masoko yake

    Nawashukuru wanajamvi kwa michango yenu, naamin kutokana na michango yenu nimepata kitu.
  6. P

    Kilimo cha Mapapai: Ushauri wa Kitaalamu, Changamoto na Masoko yake

    Ahsanteni wanajamvi kwa michango yenu, bado naendelea kupokea michango yenu kuhusu wapi ntapata Soko la uhakika na aina gani ya papai inapendwa Soko ni.
  7. P

    Kilimo cha Mapapai: Ushauri wa Kitaalamu, Changamoto na Masoko yake

    Haya sasa nawasubir wàje@ Rafael wa Ureno
  8. P

    Kilimo cha Mapapai: Ushauri wa Kitaalamu, Changamoto na Masoko yake

    Habari wanajukwaa mimi ni kijana nimeamua kujihusisha na kilimo. Nakusudia kulima papai mapema mwakani na nimedhamiria kuwa na mipapai takribani mia saba. katika hiyo mia saba, mia tatu nakusudia kuifanyia kilimo cha umwagiliaji na ilobaki kilimo cha kutegemea mvua. ENEO LA KILIMO, Nakusudia...
  9. P

    Nape: Magufuli aliposema Mwanza wasibomolewe kwa sababu ya kura alikuwa anatania

    Erythrocyte, Msema kweli mpenzi wa Mungu! Nami nimekusoma, kwenye hili nami nmemsoma Nape zaid ya mistari iloandikwa.
Back
Top Bottom