mkuu Utandu kumbe wewe ndio mmiliki wa mipapai hii, maana naona umeielezea mpaka umri wake kuwa inamiezi sita . Je unalimia wapi?
Katika kuperuzi katka mtandao hiyo mipapai nimeikuta sehemu flan nikai screen shot
Habari za muda wanajamvi! kutokana na dhamira yangu ya kulima papai naomba kueleweshwa yafuatayo:
.Ekari moja kuingia mipapai 1000-1200 ni kwa umbali gani wa mche hadi mche na mraba hadi mraba?
.Kutokana na michango nlopata humu jamvini na kwingineko, imenidhihirikia kuwa papai lipendwalo...
Ahsanteni wanajamvi kwa michango yenu, bado naendelea kupokea michango yenu kuhusu wapi ntapata Soko la uhakika na aina gani ya papai inapendwa Soko ni.
Habari wanajukwaa mimi ni kijana nimeamua kujihusisha na kilimo.
Nakusudia kulima papai mapema mwakani na nimedhamiria kuwa na mipapai takribani mia saba.
katika hiyo mia saba, mia tatu nakusudia kuifanyia kilimo cha umwagiliaji na ilobaki kilimo cha kutegemea mvua.
ENEO LA KILIMO, Nakusudia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.