Asanteni sana nyote, huyo ni mke wangu na ijumaa watamfanyia hiyo kitu nimesahau jina pale ocean road hospital, ila wenyewe wanasema ni kukwangua uvimbe ulionekana tumboni then maumivu ya tumbo yatapona, unajua tatizo hospital huwezi kwenda na vipimo toka kwingine so inabidi uanze moja ndiyo...
Naomba msaada na ushauri kutoka kwa wataalamu wa afya kuhusu historia yangu ya kiafya.
Kwa muda mrefu nimekuwa nikisumbuliwa na matatizo mbalimbali ya kiafya. Sehemu kubwa ya maisha yangu nimekuwa nikiumwa mara kwa mara; leo tatizo hili, kesho lingine. Mwaka 2018 nilifanyiwa upasuaji na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.