Kanisa moja maarufu kinondoni biafra (KRC ) lomekuwa likimkingia kifua muharifu wa utapeli kwa zaidi ya miaka 3 sasa.
Tapeli anatumia njia ya ulokole na muhumini wa pale kanisani, jamaa anauzaga nguruwe kama mboga pale kanisani kila jumapili ila yeye ni bodaboda pale chuo kikuu huria kilichopo...
Hiyo tagged wanawake wote wanajiuza, nilipata mmoja tukakutana kimara mwisho tena alinielekeza akanikuta tukala bia mojamoja akaniambia tusipoteze muda lipia chumba yaani nilishangaa sana nikafanya hivyo kufika chumbani ananiuliza utanilipa sh ngapi nikamwambia subiri nitoe pesa kwa wakala mbona...
Bado haijaisha, kanilipa inadvance maana kuna sehemu iliitaji marekebisho, nimesharekebisha na pesa haikutosha nikajikwangua akiba yangu yote, ila nitamrudishia tu
Habri gan ndugu zangu?
Naomba niwape kisa cha kweli kilichonitokea jana.
Usiku wa saa moja nilitoka mizunguko yangu bila mafanikio yaani jana sikuingiza hata mia, nikaingia ndani nikavuta kiti nikajiegesha nikashtuka saa nne basi nikakimbia kujilaza ninapolala usingizi ukakubali maana...
Hawa politics wetu sijui nini, kuna mdada alibakwa kigamboni watuhumiwa akadakwa mmoja, yule politics jamii anaitwa salome pale kigamboni akamwambia yule dada hii kesi yako ngumu na mtuhumiwa kaachiwa na afiki politics tena, yule afande salome naambiwa ni mlokole ila alichokifanya Mungu anamuona...
Wangu ni mwalimu wa msingi tu ila ninaipata fresh alafu sina kazi kabisa, siwezi eleven japo bado sijaoa ila tumezaa wadada 2,kifupi anasema husiponipa pesa y ya kula naenda kupata kwa wanaume wenzako najiuza, eti mlokole huyo, nimemwambia sawa, sicilia Wimborne wa amini ft Peter msechu
Kuna mmoja wa kuitwa Daines alikuwa wa iringa mwaka 1991 nipo darasa la 7 nilikuwa na pasha ila aliondoka mjamzito sasa sijui ilikuwa yangu au wajanja wakubwa zangu, hadi leo sijui alipo, hiyo ilikuwa msasani nyumba za tirdo jirani na oysterbay
Mwenzako mchaga anataka kuoa mkurya posa kapeleka sasa mahari wanataka ngombe 30 jamaa wakawashusha hadi 20 wazee wamegoma kabisaa sasa dogo analia tu haelewi kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.