Recent content by Pelly

  1. P

    KANISA KINONDONI (KRC) LINATETEA MATAPELI

    Kanisa moja maarufu kinondoni biafra (KRC ) lomekuwa likimkingia kifua muharifu wa utapeli kwa zaidi ya miaka 3 sasa. Tapeli anatumia njia ya ulokole na muhumini wa pale kanisani, jamaa anauzaga nguruwe kama mboga pale kanisani kila jumapili ila yeye ni bodaboda pale chuo kikuu huria kilichopo...
  2. P

    Nimetapeliwa na mwanamke mtandaoni

    Hiyo tagged wanawake wote wanajiuza, nilipata mmoja tukakutana kimara mwisho tena alinielekeza akanikuta tukala bia mojamoja akaniambia tusipoteze muda lipia chumba yaani nilishangaa sana nikafanya hivyo kufika chumbani ananiuliza utanilipa sh ngapi nikamwambia subiri nitoe pesa kwa wakala mbona...
  3. P

    Naomba niwape kisa cha kweli kilichonitokea jana

    James Comey Shukrani sana umeongea neno kubwa sana, points tupu
  4. P

    Naomba niwape kisa cha kweli kilichonitokea jana

    Pole siku nyine ukiona ndefu kama hii copy peleka AL itakusaidia mimi bado sijajua kuitumia labda unielekeze
  5. P

    Naomba niwape kisa cha kweli kilichonitokea jana

    Nilitaka kwenda kulala msibani najiuliza kama ningeeda alafu angeita nami sipo nadhani Anglesea mimi ndiyo namuwangia ahahahahhh kama zali sikuenda
  6. P

    Naomba niwape kisa cha kweli kilichonitokea jana

    Asante, ila niliomba msamaha Pole mega panadol maumivu yakizidi money dakitari
  7. P

    Naomba niwape kisa cha kweli kilichonitokea jana

    Bado haijaisha, kanilipa inadvance maana kuna sehemu iliitaji marekebisho, nimesharekebisha na pesa haikutosha nikajikwangua akiba yangu yote, ila nitamrudishia tu
  8. P

    Naomba niwape kisa cha kweli kilichonitokea jana

    Habri gan ndugu zangu? Naomba niwape kisa cha kweli kilichonitokea jana. Usiku wa saa moja nilitoka mizunguko yangu bila mafanikio yaani jana sikuingiza hata mia, nikaingia ndani nikavuta kiti nikajiegesha nikashtuka saa nne basi nikakimbia kujilaza ninapolala usingizi ukakubali maana...
  9. P

    DOKEZO Responded Kiongozi gani wa juu Kituo cha Polisi Kirumba anazuia tuhuma hizi za ulawiti kwa mtoto huyu wa Nyakato - Mwanza?

    Hawa politics wetu sijui nini, kuna mdada alibakwa kigamboni watuhumiwa akadakwa mmoja, yule politics jamii anaitwa salome pale kigamboni akamwambia yule dada hii kesi yako ngumu na mtuhumiwa kaachiwa na afiki politics tena, yule afande salome naambiwa ni mlokole ila alichokifanya Mungu anamuona...
  10. P

    Hakuna Scam kubwa hii dunia kama kuoa Mwanamke eti kisa kasoma chuo au ameajiriwa ili msaidiane majukumu ya ndani na mfanye maendeleo

    Wangu ni mwalimu wa msingi tu ila ninaipata fresh alafu sina kazi kabisa, siwezi eleven japo bado sijaoa ila tumezaa wadada 2,kifupi anasema husiponipa pesa y ya kula naenda kupata kwa wanaume wenzako najiuza, eti mlokole huyo, nimemwambia sawa, sicilia Wimborne wa amini ft Peter msechu
  11. P

    Umeshawahi kujiuliza Msichana wenu wa kazi 'wa Miaka hiyo' yuko wapi?

    Kuna mmoja wa kuitwa Daines alikuwa wa iringa mwaka 1991 nipo darasa la 7 nilikuwa na pasha ila aliondoka mjamzito sasa sijui ilikuwa yangu au wajanja wakubwa zangu, hadi leo sijui alipo, hiyo ilikuwa msasani nyumba za tirdo jirani na oysterbay
  12. P

    Mikopo maalum kwa wafanyabiashara

    Jamani nawapataje nataka kuongeza mtaji wa kuku nimechoka na laki 3 kila wiki 3, broilers
  13. P

    Wazazi wa Binti wagoma kupokea Mahari

    Mwenzako mchaga anataka kuoa mkurya posa kapeleka sasa mahari wanataka ngombe 30 jamaa wakawashusha hadi 20 wazee wamegoma kabisaa sasa dogo analia tu haelewi kabisa
  14. P

    Sikumbuki ndoto

    Asante Asante, ngoja nipambane kama nitaweza, ila umepotea sana hadi kutublock inbobo
Back
Top Bottom