Siwahelewi kabisa NHIF bima za wanangu wametumiatoka wakiwa wachanga picha ila mwezi sasa wanazifungia eti nilete picha mpya na nilipie 20000 cash kwa kila kichwa nimechoka kweli kwanini wasikate kwa salary na sisi ni watumishi
Hawa wadudu walinitesa ila juzi nikapewa dawa moja walikauka kama nini sijui yaani wakawa wagumu nikawa naokota vitu vyeusi natupa kwa sasa hakuna hata mmoja
Jumamosi ya tarehe 28/10/2023 alikuwa na band yake sehemu moja mbezi luguruni kijiji kinaitwa kwembe kuna bar inaitwa jondee alipiga pale, jamaa yupo ukimtaka nikachukue mawasiliano yake
kama alikuambia nipange ungempa buku 5 tu, angekushukuru maana hawa daladala wanawapa hadi buku ila gari ndogo ndiyo hivyo atakuambia mbona wiper ya kushoto inamtegea mwenzake nakuandia kosa, yaani polisi hakosi kosa hata iweje
Habari zenu wanajamvi,
kuna viwanja msasani mikoroshini viwanja viliishia kupimwa na vingine havijapimwa sasa huyo msomali alishashtaki siku nyingi na akaombwa alipe fidia maana yeye kanunua wakati kakuta kuna watu akawa anahonga na kushindwa sasa kasubiri huyu mjane kafiwa na mume ndiyo...
Habari zenu wanajf
Nina mafuta ya urembo nataka kumtumia mteja wangu kwa njia ya bei nafuu, lakini nilipofika posta wakaniambia hawasafirisha aina yoyote ya kimiminika, nimeenda DHL bei niliyotajiwa nanunua mzigo mara mbili yake, je kuna mtu anajua au amewahisafirisha mzigo wa kimiminika zaidi...
Kuna mlokole pale KRC amemtapeli mke wangu na kulipa hataki kesi ipo kanisani wanamchekea tu na kuna shemasi hapohapo kamtongoza mke wangu alafu nasikia ndiyo tabia yake mtaani ila Mungu yupo.
Hivi yule aliyetengeneza meli ya Titanic alipoimaliza nasikia alisema hata Mungu hawezitengeneza meli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.