Recent content by Pelly

  1. P

    DOKEZO Wenye Hospitali binafsi wakataa kuwahudumia wateja wa NHIF kutokana na vifurushi vipya

    Siwahelewi kabisa NHIF bima za wanangu wametumiatoka wakiwa wachanga picha ila mwezi sasa wanazifungia eti nilete picha mpya na nilipie 20000 cash kwa kila kichwa nimechoka kweli kwanini wasikate kwa salary na sisi ni watumishi
  2. P

    Kwanini wazungu wameshindwa kutokomeza kunguni Ulaya?

    Hawa wadudu walinitesa ila juzi nikapewa dawa moja walikauka kama nini sijui yaani wakawa wagumu nikawa naokota vitu vyeusi natupa kwa sasa hakuna hata mmoja
  3. P

    Yupo wapi huyu mwamba Bad Bakule?

    Jumamosi ya tarehe 28/10/2023 alikuwa na band yake sehemu moja mbezi luguruni kijiji kinaitwa kwembe kuna bar inaitwa jondee alipiga pale, jamaa yupo ukimtaka nikachukue mawasiliano yake
  4. P

    Leo nimeandikiwa fine kisa taa ya break imeungua

    kama alikuambia nipange ungempa buku 5 tu, angekushukuru maana hawa daladala wanawapa hadi buku ila gari ndogo ndiyo hivyo atakuambia mbona wiper ya kushoto inamtegea mwenzake nakuandia kosa, yaani polisi hakosi kosa hata iweje
  5. P

    Mkurugenzi kinondoni Muhandisi mpeki anakuangusha

    Habari zenu wanajamvi, kuna viwanja msasani mikoroshini viwanja viliishia kupimwa na vingine havijapimwa sasa huyo msomali alishashtaki siku nyingi na akaombwa alipe fidia maana yeye kanunua wakati kakuta kuna watu akawa anahonga na kushindwa sasa kasubiri huyu mjane kafiwa na mume ndiyo...
  6. P

    Uliwahi kula vyakula gani kutoka sehemu mbalimbali Duniani ukafaidi?

    kuku wa malaysia pale kuala lumpur natamani kurudi kwa ajili hiyo, wanapakwa ngano kwanza then wanakaangwa yaani test moja restaurant zote kama kfc
  7. P

    Wapi nitapata Elimu ya Kilimo cha Nyanya za Kisasa?

    nakaribish yeyoye.nipo kwembe hkkfika luguruni wilayani ubungo nipigie 0788305012 njoo shambani namk ndiyo nimeanZa zipo na mwezi ilanashukuru miche 1000 na eneolipo kunwa njko ukkdity .now
  8. P

    KUTUMA MZIGO WA VIMIMINIKA USA

    Vichupa vidogo kama ukubwa wa double kiki au soda flusana, nilikuwa nawatumia watz sema sijwapata kwa sasa
  9. P

    KUTUMA MZIGO WA VIMIMINIKA USA

    We bibi vipi ?nimesema natafuta gharama nafuu siyo bure
  10. P

    KUTUMA MZIGO WA VIMIMINIKA USA

    Habari zenu wanajf Nina mafuta ya urembo nataka kumtumia mteja wangu kwa njia ya bei nafuu, lakini nilipofika posta wakaniambia hawasafirisha aina yoyote ya kimiminika, nimeenda DHL bei niliyotajiwa nanunua mzigo mara mbili yake, je kuna mtu anajua au amewahisafirisha mzigo wa kimiminika zaidi...
  11. P

    Cost of sending goods from Tanzania to USA?

    Hi guys, I want to send some beaut products from Tanzania to USA, anyone knows the cheapest way to send? Thanks.
  12. P

    Uchawi upo! Muendekeze Mungu ufe masikini

    Kuna mlokole pale KRC amemtapeli mke wangu na kulipa hataki kesi ipo kanisani wanamchekea tu na kuna shemasi hapohapo kamtongoza mke wangu alafu nasikia ndiyo tabia yake mtaani ila Mungu yupo. Hivi yule aliyetengeneza meli ya Titanic alipoimaliza nasikia alisema hata Mungu hawezitengeneza meli...
Back
Top Bottom