Habari za wakati huu wapendwa!
Binafsi nashangazwa sana na mambo yanayoendelea ulimwenguni. Tangu utotoni tumefundishwa na dini zetu kuhusu upendo na pia kuonywa juu ya siku za mwisho. Lakini kwa upande mwingine, inaonekana kama watu wenye nguvu, wanasiasa na mataifa makubwa hawaguswi kabisa na...
Wala sio kwamba nanunua tikiti zima,huwa napenda tu mida ya jioni nikiwa narudi mizunguko kusimama kwa washkaj wanaouza vipande kisha nachukua viwili vitatu,matunda hayana ladha kabisa
Habar za wakati huu wanaJF?
Binafsi nimekuwa nikipata shida kidogo kuelewa nini tatzo hasa ninapoamua kununua na kula tikitimaji siku za karibuni, nakumbuka miaka ya nyuma ktk matunda yaliyokua yakiongoza kwa utam na sukari basi n tikiti lakini haya matikiti ya siku za karibuni hayana ladha...
Habari,
Binafsi nimekua nikichukizwa sana na hili suala la mgao wa umeme wadau, wakati fulani kisingizio kilikuwa ni upungufu wa maji sababu ya ukame, ila hata baada ya kushuhudia wiki kadhaa za kiwango cha juu cha mvua mfululizo bado suala la magao wa umeme limeendelea, najaribu kujiuliza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.