Recent content by pearlnusay

  1. P

    Dar kumeongezeka sherehe za wakina dada kuwaalika mashoga

    Akina James delicious na dayon monson
  2. P

    Anaitwa Queen of Darkness ndie awapae nguvu za Giza wasanii wakubwa

    Hivi nyie walokole jamani walokoleeeee mkoje nyinyi?
  3. P

    Hebu tiririka tabia mbaya za baadhi ya wafanyakazi kwenye maofisi

    Walokole jamani walokoleeeee ni kero ofisini.Naishia hapa
  4. P

    Mwanaume mmoja anapaswa kuwa na mwanamke mmoja

    Andika nadhani sio nazani.😉😉😉😉 Sasa kuandika vizuri hujui nguvu za kuhudumia wanawake wanne utazitoa wapi? NB: Iam a woman.
  5. P

    Sio kweli kuwa ukifanya ngono na makahaba unajipatia nuksi. Kwanini mambo ya kufikirika yanatutia kiwewe sana?

    Nina mlokole hapa ofisini kwetu jamani anaogopa kila kitu anaita ni pepo limetumwa ,huwa namcheka some time namuonea huruma anatuogopa waislamu,wasanii wote anasema ni mapepo ila wamekuja kwa umbo la binaadamu .Mimi najiuliza huyu si ataumwa huyu?
  6. P

    Vanessa bila kujiondoa kwa Jux angechunda!

    Aibu naona mimi.
  7. P

    Kwanini kataa ndoa wengi ni vijana wa kikristo

    🤣🤣🤣🤣🤣 Imekuuma? Nia ilikuwa uislamu ushambuliwe si ndio?
  8. P

    Iliwezekana vipi Samsoni kukakamata Bweha 300 na kuwafunga vinge kwenye mikia yao?

    Makafiri kazi mnayo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
  9. P

    ZBC ni ya serikali au ya Dini ya kiislamu

    Basi hapo kafiri kidogo upasuke kwa hasira🤣🤣🤣
  10. P

    ZBC ni ya serikali au ya Dini ya kiislamu

    Eeeeti nyie wakristo, Wingi wenu uko wapi? Usoni wenu uko wapi? Maendeleo yako wapi?
  11. P

    Umewahi kufukuzia mpenzi ila siku mmepatana ukapoteza mzuka naye nae?

    Kwani huwa vinanukaje hadi genye zote zikate?
  12. P

    Picha: Juma Jux ameiaga rasmi kampeni ya kataa ndoa. Afunga ndoa na mchumba wake Priscilla

    🤣🤣🤣🤣🤣 Ukisikia nyooooo! Ujue imeuma hiyo.Pole sana nywea maji tu hakuna namna
  13. P

    Tetesi: Hayawi Hayawi, Diamond kumposa Zuchu Ijumaa!

    Huyo ndio mimi sasa yaani EX wa mme wangu nikiwaona hadi natetemeka ila kanioa mimi katulia hadi watu wanamshangaa,mimi wenyewe sasa duh,ila ndio hivyo miaka inakatika na watoto watano nimemzalia wana akili shuleni hatari.Siku tukukaa tunapiga story zetu ananisimulia habari za ex zake...
Back
Top Bottom