Nina mlokole hapa ofisini kwetu jamani anaogopa kila kitu anaita ni pepo limetumwa ,huwa namcheka some time namuonea huruma anatuogopa waislamu,wasanii wote anasema ni mapepo ila wamekuja kwa umbo la binaadamu .Mimi najiuliza huyu si ataumwa huyu?
Huyo ndio mimi sasa yaani EX wa mme wangu nikiwaona hadi natetemeka ila kanioa mimi katulia hadi watu wanamshangaa,mimi wenyewe sasa duh,ila ndio hivyo miaka inakatika na watoto watano nimemzalia wana akili shuleni hatari.Siku tukukaa tunapiga story zetu ananisimulia habari za ex zake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.