Rc ana ulinzi na makamu wa Rais akiwapo ulinzi unamairishwa HAYA mambo pengine intelejisia nimeona Kuna shida akilala ikulu hii ya LEMA kurudi magereza intelejisia nimeona akilala kwake Hapati usingizi kabisaaa
Baba Sita Mungu alikuleta duniani umetutumikia vya kutosha Watanzania na sasa amekurudisha udongoni kama alivyokuumba kwa udongo. Mama Sitta Mwenyezi Mungu akupe nguvu katika kipindi hiki kigumu cha majonzi. Mungu alitoa na Mungu ametwaa jina la Mungu lihimidiwe Amina.
Baba Sita Mungu alikuleta duniani umetutumikia vya kutosha Watanzania na sasa amekurudisha udongoni kama alivyokuumba kwa udongo. Mama Sitta Mwenyezi Mungu akupe nguvu katika kipindi hiki kigumu cha majonzi. Mungu alitoa na Mungu ametwaa jina la Mungu lihimidiwe Amina.
By Ole
Mliokuwa mnasema CCM B ni Cuf imegeuka Leo imekuwa act hata shetani anashangaa unafiki wenu ninyi wajanja nccr Cuf mmeichinjia bahari kazi nzuri mmefanya RAIS awape tuzo
CCM kamwe haiwezi wewe seka Nabii Edward LOWASA wa chadema alisema kweli 2015 kama mwaka huu upinzani hautachukua nchi mtasubiri kwa Miaka mia nabii huwa hakani Maneno take hapo vipi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.