Recent content by pdz

  1. P

    JamiiForums Tanzania Kwa mwenye uhitaji wa soko la mbao nje

    Habari!!! Kuna mtu aliniagiza kutafuta soko la mbao nje, nimepata wanunuzi ila wame demand waone scanned copy ya vibali vyake vya biashara kwanza. Mpaka sasa vibali kutumwa imekuwa issue (Sielewi sababu kwanini mpaka now havijatumwa) So kwa muuzaji wa mbao anayeweza ku supply mzigo na mwenye...
  2. P

    JamiiForums Tanzania Nahitaji business partner kwenye startup company ya ku match investor na entrepreneur

    Labda lugha niliyotumia haijaeleweka but sina dharau wala sikukusudia hivyo na niko serious
  3. P

    JamiiForums Tanzania Nahitaji business partner kwenye startup company ya ku match investor na entrepreneur

    Kwa sasa siwezi kuku pm (sijafikisha post 5) unless we ndio uni pm ni reply, otherwise nitumie email kwa address hiyo nitakuelezea full
  4. P

    JamiiForums Tanzania Nahitaji business partner kwenye startup company ya ku match investor na entrepreneur

    Habari! Nimepata wazo la kuanzisha kampuni ya kuunganisha wajasiriamali/kampuni ndogo na za kati na wawekezaji (investor)/investment company ili kuwawezesha ku access capital kwa ajili ya kukuzia biashara. Nina uzoefu wa kufanya kazi nao kwa muda fulani, lakini pia kuwashirikisha katika...
Back
Top Bottom