Recent content by paxo

  1. paxo

    Kuhusu SUA

    Nashukuru nimefanya mawasiliano nao wamenisikiliza nadhani wanalishughulikia
  2. paxo

    Kuhusu SUA

    Amechaguliwa Animal science
  3. paxo

    Kuhusu SUA

    ok ngoja nije nikupatie mkuu
  4. paxo

    Kuhusu SUA

    Animal science
  5. paxo

    Kuhusu SUA

    shukrani sana nimekupata
  6. paxo

    Kuhusu SUA

    poa poa mdau,, lazma aje hapo maana anapakubali sana dogo
  7. paxo

    Kuhusu SUA

    asante mkuu
  8. paxo

    Kuhusu SUA

    Habari ya mda huu ndugu zangu. Kuna dogo mmoja alikuwa kwenye orodha ya multiple admitted, tumecomfirm SUA lakn profile yake haionyeshi mabadiliko yeyote. Naomba kufahamu kwa yule aliyeconfirm SUA nini kimeonekana kwenye profile yake ili niweze kujua kama ni tatizo au laa maana nikiwapigia...
  9. paxo

    First year kuripoti chuo kikuu na tranka ni ushamba au hofu ya kuibiwa?

    ningekuona wa maana sana endapo ungewashangaa wanachuo ambao wanaibia wenzao wala si kumshangaa ambae anaenda na trunk chuoni. Ubishoo wako wa kutokuwa nalo usiupeleke kwa mtu mwingine ambaye anaona kuwa lina msaada kwake. Kwanza sidhani kama kuna chuo ambacho kimetoa tamko la watu wasiende na...
  10. paxo

    Maandalizi ya kuripoti chuo kikuu mwaka wa kwanza 2017/2018.

    ni simple sana mkuu, Ukishuka ubungo unatembea kdogo na barabara inayoelekea morogoro (kama mita 100 iv) utakuta junction (ubungo taa), pinda kushoto na unyoke na hiyo barabara ambapo utakuta kituo cha daladala. Panda gari iendayo mbagala (nauli ni kama 500) ambapo utashuka kituo cha taifa...
  11. paxo

    Tupaze sauti tudai hela zetu kabla ya TCU kutoa mwongozo

    muhas nawadai 40,000 .Hii ni bajet yangu ya wiki mbili nikiwa chuon.
  12. paxo

    Mada Maalum: Waliochaguliwa kujiunga chuo kikuu cha Dodoma 2017/18

    naona suala la kulipa by trh 25 limeanza kuwa gumu kwangu cjui nn kitaendelea apo, au ndo nisihangaike kwenda kureport kama walivyosema?
Back
Top Bottom