Noooo...Yule wa Lowassa anaitwa Hawa Sinare....Huyu ni Shose Sinare, ambaye amewahi kuwa Miss Tanzania..Kwanza pesa akina Shose walizokusanya sio USD 6m bali ni USD 600m. Na walizikabidhi serikalini ambapo waziri wa fedha kipindi hicho aliyezipokea ni Mgimwa...Pesa zilikabidhiwa kwa serikali ya...
Hivi wewe umewahi kupanda matatu Nairobi? kwanza kupata bus is an issue...halafu hawana mabasi ya kisasa. Haya mabasi yaliyoziduliwa dar this week ndiyo yanayotumiwa Ulaya pia...
Hiyo ndio express bus ya Nairobi
Acha ushamba Kiraia. I know Nairobi very well. Ninapoingia Nairobi mchana nikiwa na Kenya Airways huwa napata view nzuri sana ya jiji la Nairobi. In fact, intra-city public transport in Nairobi is a big challenge
Modern commuter buses have been unveiled in Dar es salaam. The event marked an important milestone in the history of improving the transportation system in this East Africa's most populous commercial city. This is a clear testimony that the city of Dar es Salaam is leading other East Africa...
All what CUF is planning to do is to play "Religion Card". Mmeona kwamba CCM wamesimamisha mgombea mkristo na UKAWA wameweka Mkristo, sasa mkaona mjitoe ili mgombea wenu Muislam apewe kura za huruma na waislam... Hiyo strategy ni mbaya mbaya mno ndugu zangu. Mnajua hatahivyo kura atakazopewa...
CUF acheni ubabaishaji...Mnarihidhisha U CCM-B wenu sasa. Kwani wakati kura zinapigwa ndani ya UKAWA akachaguliwa Dr. Slaa hamkujua mlihitaji ridhaa ya watu wenu kushiriki kupiga kura? Je, angekua amechaguliwa Prof. Lipumba bado mngekataa na kusema haturidhii Prof. apeperushe bendera ya UKAWA...
Mkuu hakuna mtu anayetengeneza uadui hapa. Swali linaloulizwa hapa ni kwamba, Je, kukumbatiana huku siku chache kabla ya EL kutangaza nia sio mkakati wa team lowasa kutafuta support ya ITV? Na kesho nasikia ITV, RADIO ONE, EATV EA RADIO watarusha LIVE safari ya matumaini kutoka Amri Abeid...
Mkuu Yangtze, kwanza nianze kwa kukusifu kwa hatua hii. Ni kweli kabisa ukiangalia madai ya Yule bwana yana ajenda ya siri nyuma yake. Aidha anataka kujiwekea mazingira ya kugombea ama anamrayarishia mtu mwingine. Ila isiwe kwa kutafuta sababu za kuzusha kama alivyofanya. Pamoja na kwamba mimi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.