Recent content by paul sureboy

  1. P

    wana HGK

    "FASIHI NI KIOO" jadili kauli hii kwa hoja (8)nane
  2. P

    wana HGK

    uliza swali lolote hapa ujibiwe
  3. P

    Mwanafunzi, weka swali linalokusumbua ili walimu na wazoefu wakusaidie

    "FASIHI NI KIOO" jadili kauli hii kwa hoja (8) nane.
  4. P

    MWANAFUNZI: Fahamu shule uliyopangiwa 2015

    jaman hamna wa matai secondary humu ndani?
  5. P

    MWANAFUNZI: Fahamu shule uliyopangiwa 2015

    jamani kwa wale wote tuliopangiwa kujiunga na kidato cha tano shule zilizopo mkoani rukwa tufahamiane na tujuzane habari mbalimbali na kusaidiana hata kupata joining instruction kwa urahisi kuliko kusubili zitumwe mashuleni kwani muda hautoshi
  6. P

    Joining Instructions Kidato cha Tano 2015, malipo na mahitaji ya shule

    jamani na mimi nisaidieni kupata joining instruction ya matai secondary ya huko rukwa
  7. P

    MWANAFUNZI: Fahamu shule uliyopangiwa 2015

    jamani wanajamvin kwa wale waliopo rukwa wanisaidie ntaipataje joining instruction ya matai secondary coz nimepangiwa hapo afu me npo mkoani tabora
  8. P

    MWANAFUNZI: Fahamu shule uliyopangiwa 2015

    Jamani wa matai secondary ya huko rukwa tufahamiane hapa
  9. P

    MWANAFUNZI: Fahamu shule uliyopangiwa 2015

    jamani anaeijua vizuri matai secondary ipo mkoani rukwa anijuze basi au aliyepangiwa huko nae tufahamiane 0688704289 au 0654203758
Back
Top Bottom