Je, serikali inavyosema sensa ni tarehe 23 Agosti wanamaanisha hyo ni tarehe ya kuanza sensa au ni kwamba sensa ya mwaka huu inafanyika kwa siku moja ambayo itakuwa tarehe 23 Agosti?
Asante kwa mawazo yako bro ila Ni ngumu kupata watu watano mnaoiva interest Kama kuanz kufuga nimeanza ila ttzo Bado cjafuga kama project yangu inavyotaka
Jaman mimi ni mwanafunzi wa SUA nimeandaa project plan ya ufugaji was nguruwe ila Sina mtaji naomba mwenye ushauri wa wadau wa maendeleo (stakeholders) ambao wanaweza kunisaidia kupata mtaji naombeni ushauri wenu tafadhali eneo tayari ninalo tatizo ni mtaji wa kununua chakula Cha hao nguruwe na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.