Recent content by patrobert ISHENGOMA

  1. P

    JamiiForums Tanzania Hamuwezi kutwaa dola kwa idadi yenu ya wanachama 20 pekee munaoaminiana!!

    Ili pressure ya baadhi wanaokusudia kugombea nyadhifa cdm zishuke ni budi Zitto asiwe miongoni mwenu. Mungu ndo anajua nia ya kila mmoja wenu ktk roho zenu. Viongozi wa kiroho mlio ktk ngazi za juu za chama, Mungu anasema sameheaneni. ............,msihukum ,kama kuna dhambi Zitto alizo tenda...
  2. P

    JamiiForums Tanzania Hamuwezi kutwaa dola kwa idadi yenu ya wanachama 20 pekee munaoaminiana!!

    Watakatifu ndo wanaotakiwa chadema ili mwisho wake watupeleke mbinguni cc waovu. Wasio na dhambi ni chadema, fukuza mwovu Zitto ili mpate thawabu za wa Tanzania .
  3. P

    JamiiForums Tanzania Zitto kufukuzwa CHADEMA siku chache zijazo

    Mshahara wa dhambi ni mauti . Zitto anafukuzika ila madhara yake ni makubwa sana.Acheni kujidanganya, mfukuzeni Zitto muone. Viongozi wa takaosalia ni watakatifu sana watatufikisha mbinguni.
  4. P

    JamiiForums Tanzania WANAWAKE wanafikiria kitu kimoja tu, how to attract men,ndo maana kila kitu wanataka wawezeshwe.

    Ni kweli hata aliye na mume bado anahitaji kupendwa na wanaume wengine, hapo Ndo usaliti unapoanzia yaani ni mateso na pressure tu, ulimwengu huu, ama kweli umetawaliwa na shetani.
Back
Top Bottom