Huna maarifa. Mwanadamu mwili na roho. Viongozi wa dini lazima wakali maslahi ya roho lakini pia na miili ya waumini. Ndio maana wanajenga hospital na shule . Ujinga pelekeni kwenu.
Kuna category mbili za wanachama wa CCM
a) The Selfish
b) The ignorant.
a) The selfish. Hawa wanufaika wa mfumo moja kwa moja. Wanajua ubaya wote ila wana hofu na mabadiliko kwa kuwa yatagusa maslahi yao. Hawa kwa lugha ya kikombozi wanaitwa collaborators. Hawa pia walikuwa Kikwazo katika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.