Recent content by Patrick The Noble

  1. P

    Urgent: Ninahitaji ID COPY ya NIDA ,nina namba tu,mwenye kujua namna ya kupata

    Anayakuza mambo, sasa we kopi uitoe wapi wakati kadi hujapata umepata namba na hiyo namba ikiwekwa tu kwenye mfumo inasoma taarifa zako zote. Anyway tusubiri wajuzi wa mambo watasemaje
  2. P

    NEW: Tetesi AJIRA WAALIMU

    walisema kuanzia january na si january,pia unamjua waziri wa elimu?Kiufupi hakuna baraza la mawaziri.
  3. P

    Matokeo ya necta kidato cha pili 2013

    Hamna wewe usidanganye watu,wengine wana presha na watoto wao
  4. P

    Matokeo ya necta kidato cha pili 2013

    subiri baraza la mawaziri litangazwe.
Back
Top Bottom