Mimi ninao mpango wakuimport zana za kilimo cha kisasa kama vifaa vya umwagiliaji wa matone, material ya greenhouses na vingine ambavyo kwa hapa tanzania sio vyakutosha na nigharama kubwa ukilinganisha na ilivyo kwa nchi kama china
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.