Recent content by Patra31

  1. Patra31

    Ushauri: Alinivumilia wakati sina kazi lakini tukaacha nilipokaribia kupata kazi, nimepata mwingine sasa haachi kunisumbua turudiane

    Kwanza jitathimini ww mwenyewe moyoni mwako bado una hisia nae? Vip ulienae ana vigezo unavyoitaji na una mpenda kweli? Alafu chukua nafasi ya huyo mwanamke uliye nae uone ni maumivu kiasi gan atayapitia baada ya ww kurudiana na ex wako. Mwisho fanya maamuzi
  2. Patra31

    Baba wa nyumbani!

    Huwa nashindwa nn kuandika kitu chote kikakamilika?
  3. Patra31

    Simulizi ya kijasusi - Nilimdhania kahaba kumbe bikra

    Hii ilifaa itengenezewe tv series maana kuna action/scene zinahamasisha kuziona kwenye screen kuliko kuzisoma
  4. Patra31

    Majanga yanayoikumba Dunia, chanzo adhabu Toka Kwa Mungu, tugeuke na kutubu

    Kwani dhambi zimeanza kutendwa kipindi hiki? Mungu hana mda wa kuukumu binadamu nusu nusu kama vile anawaogopa.
  5. Patra31

    Mabaharia wenzangu, ukitembea na pisi kali, hakikisha unabebesha mimba

    Ongera kwa kuzaa pisi kali ngoja mabahari waje wakuendelezee uzao wa wajukuu pisi kali..
  6. Patra31

    Picha zifundishazo

    kumbe ya misri ni maarufu tu sio kwamba ndio makubwa duniani
  7. Patra31

    Waziri Jafo: Tanzania Bara kuingia Zanzibar kwa pasipoti ni kujirudisha nyuma

    Watanganyika (hasa wa ccm) tunajipendekeza sana kwa wazanziber. Muungano umekaa kinafiki nafiki tu
  8. Patra31

    Ney wa Mitego kawatolea ngoma ''Kataa ndoa''

    watakwambia kama duniani ni njiani wataoa wakifika
  9. Patra31

    Rushwa kwenye Serikali za Mitaa

    Nani kakwambia mtendaji wa mtaa halipwi? Mtendaji wa mtaa, kijiji na kata hao ni wafanyakazi wa serikali walio chini ya halmashauri wanalipa sawa sawa na fanyakazi wengine wa serikalini kulingana na madaraja yao. Changamoto inakuja kwenye tamaa ya kujikusanyia ela nje na mishahara yao pia kuna...
  10. Patra31

    Angalia Treni za umeme zilivyolala hapa nchini China. Sisi tuna miliki nyoka wangapi?

    Hapo unaweza kuta kuna nyingne zipo workshop.
  11. Patra31

    Biashara ya mazao Oman

    Wazo zuri
  12. Patra31

    Jirani kanikwaza sana kajenga fensi

    Najuta kupoteza mda kwenye vitu vya kijinga
  13. Patra31

    DAR: Adaiwa kumuua mlinzi wake Pugu, baba yake naye auliwa

    Kosa lake hapo ni kutumia hisia kufanya maamuzi badala ya kutumia akili. Hapo kweli alikuwa anataka kumtetea kijana ake angemwambia atokomee na yeye apotee eneo la tukio. Maana uwezi bishana na wananchi wenye asila kali wengne ni wagonjwa wa akili. Japo kujichukulia hatua mkononi sio jambo jema
  14. Patra31

    RC Halima Dedengo: Mwanafunzi ukipata mimba mshitakiwa wa kwanza unakuwa ni wewe

    Kwa kifungu kipi kitakacho mshitaki huyo aliepewa ujauzito? Wazo linaweza kuwa zuri ila mahakama ina taratibu zake
Back
Top Bottom