hapa kuna kitu umekisahau. uhuru uliopitiliza na uhuru uliobanwa. ndio maana raia wengi wa nchi za kiislam wanakimbilia kwenye nchi za kikafiri kufata hizo zambi maana nchini mwao hawawezi kuzifanya kwa uhuru.
mi nahisi ungeonesha ubora wa dini kwa kigezo cha maandiko na sio watu, maana hicho...
shida kubwa ni kuwa miaka hii ya karibuni vijana [watu] wengi hawana social skills kwaiyo ata kutongoza/kutongozwa imekuwa changamoto.
pili upendo kupoteza thamani na ngono kuwa bidhaa
nikiwa secondary [o level] 2010 nilikuwa na kaa karibu yake alaf alikuwa mtu wa dini kweli wakati mm sipo huko kabisaa ila baadae alikuja kuwa mtu wangu wa karibu zaidi.
2021 nilienda kutest kijiko/loader sehemu huku siijui nikamkuta anatinga/ anafanya kazi kwenye mashine niliyoenda kutest...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.