Kwanza jitathimini ww mwenyewe moyoni mwako bado una hisia nae? Vip ulienae ana vigezo unavyoitaji na una mpenda kweli?
Alafu chukua nafasi ya huyo mwanamke uliye nae uone ni maumivu kiasi gan atayapitia baada ya ww kurudiana na ex wako.
Mwisho fanya maamuzi
Nani kakwambia mtendaji wa mtaa halipwi? Mtendaji wa mtaa, kijiji na kata hao ni wafanyakazi wa serikali walio chini ya halmashauri wanalipa sawa sawa na fanyakazi wengine wa serikalini kulingana na madaraja yao.
Changamoto inakuja kwenye tamaa ya kujikusanyia ela nje na mishahara yao pia kuna...
Kosa lake hapo ni kutumia hisia kufanya maamuzi badala ya kutumia akili. Hapo kweli alikuwa anataka kumtetea kijana ake angemwambia atokomee na yeye apotee eneo la tukio. Maana uwezi bishana na wananchi wenye asila kali wengne ni wagonjwa wa akili.
Japo kujichukulia hatua mkononi sio jambo jema
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.