Recent content by Patasote

  1. P

    msaada namna ya kuconnect jamiiforums via tapatalk

    Jamiiforums haipo kwenye Tapatalk Jaribu kudownlaoad Jamiiforum app PlayStore https://play.google.com/store/apps/details?id=com.quoord.jamiiforums.activity
  2. P

    Tofauti kati ya Bia na Viroba

    Haya chale.....mimi nakusudia kiroba cha Konyagi
  3. P

    Tofauti kati ya Bia na Viroba

    Wakuu nataka nijue tofauti ya hivyo vitu viwili (Beer Na Viroba) pamoja na madhara, faida ya Afya n.k kwa wataalam wa mambo haya
  4. P

    Kuendelea kwa Website za Forum

    Yaszone ndie Admin wa RafikiForums.Tk
  5. P

    Kuendelea kwa Website za Forum

    Kuendelea kwa Website za Forum kunapelekea Uendeleaji wa Technologia ya Internet Tanzania sasa,Na hatimaye nimetokezea kupenda mfumo huu, na sasa wapsite mpya ya forum imetoka ya friend wangu, Chekini hii Rafikiforums.TK ipo bomba kishenzi!
  6. P

    Software ya kutengeneza video/movie

    Ahsanteni Wakuu,nimeenda Youtube Nikaangalia Video Za adobe premiere Ni nzuri.
  7. P

    Software ya kutengeneza video/movie

    Duh naombeni msaada wenu JF
  8. P

    Software ya kutengeneza video/movie

    Wakuu naomba tusaidieni kwa hili. Ni ipi software nzuri ya kutengeneza video na ku-design kama wanavyo design Kwenye TV like.. EATV, STAR TV etc.. Wakuu nisaidieni please!..
  9. P

    Jinsi ya Kutengeza Website Kama Jamii Forums

    Basi Bora Niendelee na Hii hii wapsite zangu nimetengeza bureeeeeee! Check this http://sixcenter.tk
  10. P

    Msaada kwenye Opera Min jukwaa la siasa.!!!!

    Opera Ni Ya Pc Na Opera Mini ya simu
  11. P

    Jinsi ya Kutengeza Website Kama Jamii Forums

    Je Mfano Kama Unazijua Utaanzia Wapi kwenda Kuzitia hizo Javascript Code Na Php?
  12. P

    Jinsi ya Kutengeza Website Kama Jamii Forums

    Nisaidieni Please Wakuu!
  13. P

    naashindwa kulog in JF kupitia simu

    Yaani UNAtumia Operamini au Web?
  14. P

    Jinsi ya Kutengeza Website Kama Jamii Forums

    Jamaa Tusaidiane,Hivi JF imetengezwa Vp?Au Kupitia software gani?Nisaidieni Please!
Back
Top Bottom