Recent content by pastor bizimungu

  1. P

    Hivi kwanini kila ninachokifanya mke wangu haridhiki?

    Mwaka 2012 nilipata matatizo kazini, tangu hapo nimehangaika sana kutafuta kazi nyingine bila mafanikio, katika kipindi chote hiki familia yangu haijawahi kulala na njaa hata siku moja, hii ni kwa sababu nimekua mhangaikaji sana hata kama ni kazi za hovyo nitafanya ili mradi nyumbani mambo...
  2. P

    Nimemshtukia kumbe figa hii sio yake

    Wasipofanya hivyo watakupataje?
  3. P

    Mapenzi ya house girl

    Ni kweli kabisa
Back
Top Bottom