Kila mtu anajua nchi yetu imeingizwa kwenye laana ya damu
Siku hizi mtu kutekwa na kuuawa imekuwa jambo la kawaida sio watu wa kawaida hata watu mashuhuri na wanasiasa.
Viongozi wa dini wapo kimya ukiacha wakatoliki, wengi wanauunga mkono serikali iliyotufikisha hapa.
Tukiacha hii laana...
Mimi sio cdm ni mtanzania mwenye akili.kitu gani ninahalalisha mauaji ya hao unaowaita wezi?hata kwa kawaida huwezi kumuua mtu hata kama ni mtuhumiwa wa jambo fulani.
ukweli ni kwamba mmeua watu wasio na hatia siku ile hata kama wameandamana kwani maandamano sio dhambi na mmepata laana ndo...
Kwamba ni uongo kwamba mmeuwa watu kabla ya terehe 29,tarehe 29 na baada ya tarehe 29 kwa sababu ya maslahi yenu ya kisiasa hapo Archana na kuteka ,kulawiti na ufisadi uliokithiri?mmejijazia laana ndiyo maana mama anaongoza lakini hana raha na hizo damu mtazilipia
Wazalendo hatuwezi kukataa Tamaa lazima wahuni mlipie damu za watanzania.mlipoua mkasahau damu inalipwa kwa damu.mimi kwa yale yaliyotokea tarehe 29 na mingine mbele yangu hakika sitakata tamaa mpaka wahuni muishe.na kama wewe unadamu mkononi mwako jiandae kwa sababu kanuni ya kumwaga damu ni...
Wauaji wa watanganyika na nyie vibaraka vyake laana ya damu haitawaacha mtakufa au kuumia wote.zile damu lazima mzilipie.mtajua maana ya msemi damu ni nzito kuliko maji.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.