nchi inaendelea kutetereka kwa haya yanayoendelea kama hatua hazijachukuliwa wananchi wanaweza kuchukua hatua wenyewe kwa sababu tunaona yanayoendelea.
wahuni yanatapatapa lakini yanaenda kumalizwa kwa sababu Mungu yupo kazini.baada yawahuni papa kumalizwa tutaanzia kapeni maliza machawa.wahuni mmeandikiwa kushushwa mbinguni na duniani hamponi.
Anaasili yake ambayo kwa sasa hivi hajaweka wazi na binadamu uwezo wake ni mdogo sana hawezi kumchunguza Mungu.binadamu uwezo wake ni mdogo hawezi hata kuzuia kifo.
everything has a start.hakuna kitu kinachotokea from nowhere hakuna, mfano uumbaji wa binadamu ni Mungu.ila akili za binadamu ni limited hatuwezi kumchunguza Mungu. Mungu yupo100%.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.