Recent content by passioner255

  1. passioner255

    JamiiForums Tanzania Mazishi ya halaiki kwa Magaidi: Israel inafanya kazi nzuri sana kuwaua Magaidi huko Gaza!!

    weka evidence kuwa hao ni Magaidi au wewe ni binadamu takataka
  2. passioner255

    JamiiForums Tanzania Mazishi ya halaiki kwa Magaidi: Israel inafanya kazi nzuri sana kuwaua Magaidi huko Gaza!!

    weka ushahidi kuwa hao ni Magaidi kama huna wewe utakuwa ni binadamu wa ovyo na mjinga sana kufurahia vifo vya binadamu wenzako.
  3. passioner255

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Watanzania hawahitaji maridhiano, nani analazimisha yawepo kwa faida ya nani?

    mauaji mliyofanya hayana uhalali mtalipia nyie na vizazi vyenu kwanza damu zao zinamlilia Mungu mtalipia tu kwa njia yoyote.damu ya mtanganyika haiwezi kupotea hivihivi.
  4. passioner255

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Watanzania hawahitaji maridhiano, nani analazimisha yawepo kwa faida ya nani?

    kwamba ukiiba au kuharibu mali unauawa?yale mauaji hayana uhalali na kila muuaji atalipia kwa muda wake.mauaji ya watanganyika hayakubaliki kabisa
  5. passioner255

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Watanzania hawahitaji maridhiano, nani analazimisha yawepo kwa faida ya nani?

    aliyefadhili maandamano ni CCM na matendo yake machafu.ile ilikuwa hasira dhidi ya wahuni.sasa hivi watanzania hawana hofu tena mkiendeleza uhuni wakati mwiningine tutawakimbiza nje ya nchi.watu hawafurahi wakiona ufisadi,mauaji,utekajink.mkiendeleza utawafukuza na hatuwaogopi tena ndo maana...
  6. passioner255

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Watanzania hawahitaji maridhiano, nani analazimisha yawepo kwa faida ya nani?

    kwamba watu waliuawa kwa kuwa walivunja mali?kwamba mali zinathamani kuliko uhai?yale mauaji hayasameheki na hayakuwa na uhalali wowote na wauaji lazima mlipe.watanzania hatutasahau kamwe na sio kwamba tumenyamaza tunatusibiri wakati wa MUNGU.
  7. passioner255

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Watanzania, Tundu Lissu akitoka gerezani mko tayari kuridhiana?

    utaridhiana vipi na watu wakati hujarudisha maiti za ndugu zao au hakuna aliyewajibishwa kwa yale mauaji?
  8. passioner255

    JamiiForums Tanzania Napendekeza Tundu Lisu aachiwe huru kwa mujibu wa sheria, akamatwe tena na kufunguliwa mashtaka upya yenye ushahidi mpya uliothibishwa.

    imagine hawa ndo washauri wa Samia kweli hii nchi imelaaniwa.
  9. passioner255

    JamiiForums Tanzania Fr Kitima: Unataka uridhiane na nani na hujakiri kosa?

    hakuna uhalifu wowote ile ni homa ya maandamano nyie wauaji lazima mlipe.ALafu ni wapumbavu tu wanaoongelea thamani ya vitu wakati watu wanaongelea thamani ya uhai.kama wewe ni mmojawapo acha uhuo upumbavu.
  10. passioner255

    JamiiForums Tanzania Ni wazi tuhuma za ufisadi ndani ya CHADEMA zimesababisha nyufa na migawanyiko ndani ya chama hicho

    ni wajinga wachache wanataka hivyo ila chadema hamna shida ila mwenye mpasuko na mgawanyiko ni huyo mama yenu aliyelaaniwa kwa mauaji ndo maana anaongoza ovyoovyo.
  11. passioner255

    JamiiForums Tanzania Rais hatakiwi kulaumiwa kwa mauaji ya Oktoba 29

    yale maujaji hayana uhalali wowote ndiyo maana mama yenu anaongoza nchi kama mtu aliyelaaniwa vile na bado zile damu lazima zilipiwe.
  12. passioner255

    JamiiForums Tanzania Rais Samia kuzindua ujenzi wa SGR kutoka Tabora kwenda Kigoma pamoja na meli 4 mpya

    Mimi sijaamrisha polisi waue hiyo tarehe29 wala sijaamrisha wapinzani wauawe.
  13. passioner255

    JamiiForums Tanzania Huenda "Kuumbwa kwa watu" ndio sababu halisi iliyomfanya shetani amuasi Mungu

    Mungu hakumuumba shetani muovu ila shetani kawa muovu kwa maauzi yake kama wewe unavyoamua kuzini kwa maamuzi yako Mwenyewe
  14. passioner255

    JamiiForums Tanzania Rais Samia kuzindua ujenzi wa SGR kutoka Tabora kwenda Kigoma pamoja na meli 4 mpya

    MUNGU hawezi kukuzawadia muuaji huyu nizawadi kutoka kwa shetani
  15. passioner255

    JamiiForums Tanzania Pamoja na kuchangiwa Bilioni 200 bado ameshindwa ushawishi na Mange Kimambi

    Watu wenye akili wanajua nchi inaharibiwa na CCM wenyewe kina Samia Nk.
Back
Top Bottom