Recent content by passioner255

  1. passioner255

    JamiiForums Tanzania Tufanyaje ili tuitoe nchi kwenye hii laana ya damu?

    Ngoja tuone
  2. passioner255

    JamiiForums Tanzania Tufanyaje ili tuitoe nchi kwenye hii laana ya damu?

    Tumefika sehemu watu hawana aibu baada ya kuua tumefika papaya sana.
  3. passioner255

    JamiiForums Tanzania Tufanyaje ili tuitoe nchi kwenye hii laana ya damu?

    Hatuna jeshi wala silaha tutafanikishaje hilo?
  4. passioner255

    JamiiForums Tanzania Tufanyaje ili tuitoe nchi kwenye hii laana ya damu?

    Kweli kwa sababu unamuuaje ndugu yako ili ubakie madarakani ?
  5. passioner255

    JamiiForums Tanzania Tufanyaje ili tuitoe nchi kwenye hii laana ya damu?

    Sawasawa
  6. passioner255

    JamiiForums Tanzania Tufanyaje ili tuitoe nchi kwenye hii laana ya damu?

    Hawataki kuwajibika
  7. passioner255

    JamiiForums Tanzania Tufanyaje ili tuitoe nchi kwenye hii laana ya damu?

    Sawa
  8. passioner255

    JamiiForums Tanzania Tufanyaje ili tuitoe nchi kwenye hii laana ya damu?

    Kila mtu anajua nchi yetu imeingizwa kwenye laana ya damu Siku hizi mtu kutekwa na kuuawa imekuwa jambo la kawaida sio watu wa kawaida hata watu mashuhuri na wanasiasa. Viongozi wa dini wapo kimya ukiacha wakatoliki, wengi wanauunga mkono serikali iliyotufikisha hapa. Tukiacha hii laana...
  9. passioner255

    JamiiForums Tanzania Huu ni mwanzo tu wa wahuni wa CCM kulipa damu za watanzania

    Sikujua katika maisha yangu nitamuona Rais mwanamke dikteta tena kwenye nchi yangu.
  10. passioner255

    JamiiForums Tanzania Rais Samia aendelea kuonesha umoja wa kitaifa

    Mteule wa Mungu hawezi kuwa mchafu hivi na mwenye laana ya damu
  11. passioner255

    JamiiForums Tanzania Rais Samia aendelea kuonesha umoja wa kitaifa

    Ujasiri wa kuua na kulawiti na ujasiri kwa kuiba ameua umoja na Amani na usalama wa nchi yetu na bado machawa mnamdanganya.
  12. passioner255

    JamiiForums Tanzania Huu ni mwanzo tu wa wahuni wa CCM kulipa damu za watanzania

    Mimi sio cdm ni mtanzania mwenye akili.kitu gani ninahalalisha mauaji ya hao unaowaita wezi?hata kwa kawaida huwezi kumuua mtu hata kama ni mtuhumiwa wa jambo fulani. ukweli ni kwamba mmeua watu wasio na hatia siku ile hata kama wameandamana kwani maandamano sio dhambi na mmepata laana ndo...
  13. passioner255

    JamiiForums Tanzania Huu ni mwanzo tu wa wahuni wa CCM kulipa damu za watanzania

    Kwamba ni uongo kwamba mmeuwa watu kabla ya terehe 29,tarehe 29 na baada ya tarehe 29 kwa sababu ya maslahi yenu ya kisiasa hapo Archana na kuteka ,kulawiti na ufisadi uliokithiri?mmejijazia laana ndiyo maana mama anaongoza lakini hana raha na hizo damu mtazilipia
  14. passioner255

    JamiiForums Tanzania Huu ni mwanzo tu wa wahuni wa CCM kulipa damu za watanzania

    Wazalendo hatuwezi kukataa Tamaa lazima wahuni mlipie damu za watanzania.mlipoua mkasahau damu inalipwa kwa damu.mimi kwa yale yaliyotokea tarehe 29 na mingine mbele yangu hakika sitakata tamaa mpaka wahuni muishe.na kama wewe unadamu mkononi mwako jiandae kwa sababu kanuni ya kumwaga damu ni...
  15. passioner255

    JamiiForums Tanzania Huu ni mwanzo tu wa wahuni wa CCM kulipa damu za watanzania

    Wauaji wa watanganyika na nyie vibaraka vyake laana ya damu haitawaacha mtakufa au kuumia wote.zile damu lazima mzilipie.mtajua maana ya msemi damu ni nzito kuliko maji.
Back
Top Bottom