mauaji mliyofanya hayana uhalali mtalipia nyie na vizazi vyenu kwanza damu zao zinamlilia Mungu mtalipia tu kwa njia yoyote.damu ya mtanganyika haiwezi kupotea hivihivi.
aliyefadhili maandamano ni CCM na matendo yake machafu.ile ilikuwa hasira dhidi ya wahuni.sasa hivi watanzania hawana hofu tena mkiendeleza uhuni wakati mwiningine tutawakimbiza nje ya nchi.watu hawafurahi wakiona ufisadi,mauaji,utekajink.mkiendeleza utawafukuza na hatuwaogopi tena ndo maana...
kwamba watu waliuawa kwa kuwa walivunja mali?kwamba mali zinathamani kuliko uhai?yale mauaji hayasameheki na hayakuwa na uhalali wowote na wauaji lazima mlipe.watanzania hatutasahau kamwe na sio kwamba tumenyamaza tunatusibiri wakati wa MUNGU.
hakuna uhalifu wowote ile ni homa ya maandamano nyie wauaji lazima mlipe.ALafu ni wapumbavu tu wanaoongelea thamani ya vitu wakati watu wanaongelea thamani ya uhai.kama wewe ni mmojawapo acha uhuo upumbavu.
ni wajinga wachache wanataka hivyo ila chadema hamna shida ila mwenye mpasuko na mgawanyiko ni huyo mama yenu aliyelaaniwa kwa mauaji ndo maana anaongoza ovyoovyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.